Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 154,929
- 459,607
Huyo huyo kuna mkaka kamfungulia uzi mamdenyi nimemkuta hukoAisee, Mwifwa huyuhuyu[emoji134] [emoji134]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo huyo kuna mkaka kamfungulia uzi mamdenyi nimemkuta hukoAisee, Mwifwa huyuhuyu[emoji134] [emoji134]
Babe jaman nimesahauSasa wewe unasahauje venue
[emoji3] [emoji3] [emoji3] vimekukosea niniAhahahhh kupatwa kwa shunie nilivyokua na vita navyo viben10 siamini mie
Yani shemeji yangu huyu nampenda ila basi tu hajuiBabe umeongea kwa upole
Mtu angesema kanikula au nimewalia nauli zao kwa sababu kuchat na watu wengine sio wazuri watakuzushia vya kukuzushia tuKwani huko Pm watu wanakulana
Aisee, kuna watu wanajua kweli kujitoa ufahamu[emoji23] [emoji23]Huyo huyo kuna mkaka kamfungulia uzi mamdenyi nimemkuta huko
Yaan sivipendi tu mimi Mungu anisamehe tu jamaan mana vinapenda kulelewa mwenyewe nataka kulelewa[emoji3] [emoji3] [emoji3] vimekukosea nini
Babe si tulisema SaadaniBabe jaman nimesahau
Na yeye anakupenda sana maksudi tu anakufanyiaYani shemeji yangu huyu nampenda ila basi tu hajui
KhaaaKweliiii
Babe kupenda avatar fake au comments teh tehAisee, kuna watu wanajua kweli kujitoa ufahamu[emoji23] [emoji23]
HahahahahaBabe umeongea kwa upole
Mh, sasa usipokula nauli mtu akazusha mwenyewe shida iko wapi... Unajua binadamu lazima waseme tu.Mtu angesema kanikula au nimewalia nauli zao kwa sababu kuchat na watu wengine sio wazuri watakuzushia vya kukuzushia tu
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]Kama wewe unavyopenda za baba mtumishi
MmmhMe nimekupm inagoma nini tena
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] aiseeYaan sivipendi tu mimi Mungu anisamehe tu jamaan mana vinapenda kulelewa mwenyewe nataka kulelewa
PoaMbona nimekuja sasa kimya
Nilisahau jamaan ya wapi sasa tutaendaBabe si tulisema Saadani
Hongera kwa kutuchagulia M/kiti mpya
NimemuonaNimekutana nae huko kwenye zi mmu anasema na yeye siku atamfungukia mdada na kumfungulia thread nimepita kimya tu