Stress Free Zone

Stress Free Zone

[emoji524]Zaburi 126

5 Wapandao kwa machozi Watavuna kwa kelele za furaha.

6 Ingawa mtu anakwenda zake akilia, Azichukuapo mbegu za kupanda. Hakika atarudi kwa kelele za furaha, Aichukuapo miganda yake.

Tuwe na usiku mwema na tulindwe na damu ya Yesu

Amen [emoji120] [emoji7]
Asante Sana mama Mchungaji
 
[emoji524]Zaburi 126

5 Wapandao kwa machozi Watavuna kwa kelele za furaha.

6 Ingawa mtu anakwenda zake akilia, Azichukuapo mbegu za kupanda. Hakika atarudi kwa kelele za furaha, Aichukuapo miganda yake.

Tuwe na usiku mwema na tulindwe na damu ya Yesu

Amen [emoji120] [emoji7]
Shunie unalala.
 
Back
Top Bottom