Stress Free Zone

Kwahiyo babe we ni mwanaume wa dar?? mana hao kila kitu hawawezi
Kwanz kabisa naomba unitake radhi babe, kunifananisha mimi na hao viumbe wanaokimbia mpaka mende ni udhalilishaji wa kijinsia, mimi naweza kukaa na njaa lakini sio siku arobaini babe
 
Kwanz kabisa naomba unitake radhi babe, kunifananisha mimi na hao viumbe wanaokimbia mpaka mende ni udhalilishaji wa kijinsia, mimi naweza kukaa na njaa lakini sio siku arobaini babe
Babe we ni mwanaume wa wapiii ebu jitahidi kukaa siku arobaini bila kula nione uanaume wako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…