Youngblood
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 19,433
- 56,810
Ndiyo maana nina hasiraKhaaa
Mbona mm sijapika pilau sasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo maana nina hasiraKhaaa
Mbona mm sijapika pilau sasa
Tatizo sheria za jf haziruhusu kuweka conv za pmSijaona huo ukaribisho mimi
Hasira hiyo vipiii na wakati unataka pilauNdiyo maana nina hasira
Oops, nilishasau swetee, pilau imenichanganyaAlizokwambia sakayo
MmhOops, nilishasau swetee, pilau imenichanganya
Nisamehe bure
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] weka uoneTatizo sheria za jf haziruhusu kuweka conv za pm
Siwezi nitakula ban hivi young we ni Dr. enh[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] weka uone
Naomba nisamehe babe, unajua tena njaa ikizidi akili inashindwa kufanya kazi kama kawaida
Nani kasema [emoji134] [emoji134] [emoji134]Siwezi nitakula ban hivi young we ni Dr. enh
Hakuna aliyesema zaidi ya mm shunie kuulizaNani kasema [emoji134] [emoji134] [emoji134]
Babe we mwanaume ujue unaweza kaa hata siku 40 bila kulaNaomba nisamehe babe, unajua tena njaa ikizidi akili inashindwa kufanya kazi kama kawaida
Nini kimekufanya uulize, ungejua hiyo kaz siiwezi mwenzioHakuna aliyesema zaidi ya mm shunie kuuliza
Ahaaa, hayo mambo aliyaweza Bwana Yesu Kristo pekeeBabe we mwanaume ujue unaweza kaa hata siku 40 bila kula
MmhNini kimekufanya uulize, ungejua hiyo kaz isiiwezi,
mwenzio
Kwahiyo babe we ni mwanaume wa dar?? mana hao kila kitu hawaweziAhaaa, hayo mambo aliyaweza Bwana Yesu Kristo pekee
Enheee, hizo hisia zako zinasemajeMmh
Acha kuniongopea hisia zangu huwa hazinidanganyi
Kwanz kabisa naomba unitake radhi babe, kunifananisha mimi na hao viumbe wanaokimbia mpaka mende ni udhalilishaji wa kijinsia, mimi naweza kukaa na njaa lakini sio siku arobaini babeKwahiyo babe we ni mwanaume wa dar?? mana hao kila kitu hawawezi
Zinaniambia young ni drEnheee, hizo hisia zako zinasemaje
Babe we ni mwanaume wa wapiii ebu jitahidi kukaa siku arobaini bila kula nione uanaume wakoKwanz kabisa naomba unitake radhi babe, kunifananisha mimi na hao viumbe wanaokimbia mpaka mende ni udhalilishaji wa kijinsia, mimi naweza kukaa na njaa lakini sio siku arobaini babe
Labda dr kama "dr shika " [emoji23] [emoji23]Zinaniambia young ni dr