Mzima sana kuna maisha bada ya kuachwa lazima yaendeleeHivi ruge bado mzima? maana tangu nisikie analia I'm gonna die sijaulizia tena
Ndio mana pakaitwa stress free zone karibu sanaStory mvulugano
Tee tee,wanawake wa Tanga hawajawahi waacha wahaya salama.Hivi ruge bado mzima? maana tangu nisikie analia I'm gonna die sijaulizia tena
Kabisaaaa.Story mvulugano
[emoji23][emoji23]kwakweliWakiona inazidi kupoa waichemshe[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kalazwa hospital gan tukamuone boss wetuYuko ICU[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Yani mapenzi kibokooo
Uzee mjini marufukuAcha kabisa kila mtu na kipaji chake jaman watu hawapendi uzeee
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Ni lazima tuvuke 1,000 posts kabla ya machweo!
Zama sio mtanga jaman ni mmnyemaTee tee,wanawake wa Tanga hawajawahi waacha wahaya salama.
Kwani hao wananini?Ila asiwe kama Zamaradi... au Joyce Kiria!
Mkuu hatushindani sisiNi lazima tuvuke 1,000 posts kabla ya machweo!
Wewe ni Sudi Buraoni au?Kalazwa hospital gan tukamuone boss wetu
Mjini kila mtu babyUzee mjini marufuku