Nakuona ujueAhahaha muosha masufuria kanizimikia muke ya Lee [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] nakuombea mwifwa upate kama upo serious lakini halaf kingine jiamini kama kuna mdada umeonyeshwa kuvutiwa nae mzoee kuwa karibu nae mfate pm mchat yaan hivyo ila me nitoe me Mrs Lee Empire kiukweli ukweli hatuact tunapika na kulala pamoja
HallelujahNilicheka sana baada ya kuona ule uzi.
Mimi sina shida nitapata tu Mungu akipenda priority sio kutoka humu jukwaani.
Kuzimikia ndio siwezi kabisaa hata nikiwa hapa nyuma ya keyboard kama wengine wanavyofanya.
Nashukuru sana Shunie kwa Dua yako na mimi nakuombea uwe na mafanikio makubwa kwenye ndoa yako na Baba D.
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]Hallelujah
Niko poa kabisa[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
Mzima wewe?
Ni jambo la kushukuru sanaNiko poa kabisa
AminaNi jambo la kushukuru sana
SakayoAmina
AbeeSakayo
Lunch tayari?Abee
TayariLunch tayari?
Ahsante sana.Tayari
Karibu Mwifwa
[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]Nakuona ujue
HahahaAhsante sana.
Ngoja nipitie chips kavu hapá gengeni kwanza
Hatimae umefunguliwa[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
Huku ni GudHumu veeeep
Woiiiiii mm sina wa kunizuia jamaan ni utaratibu wangu tuHatimae umefunguliwa
Hata me naona naona watu wamepoteaHuku ni Gud
SawaWoiiiiii mm sina wa kunizuia jamaan ni utaratibu wangu tu