carbamazepine
JF-Expert Member
- Dec 30, 2015
- 46,562
- 285,591
Nani huyo hebu nambie[emoji23][emoji23]Naona rafiki yako kaamua kulifanyia kazi wazo la Shunie[emoji23] [emoji23] [emoji23]
HahahaMe niko na 14 sitaki masihara
Mbona nimekuta lock kwa walioitwa wote pale juu.Naendelea mapambano huko Prime Minister
MxiuuShikamoo dada Sakayo[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mnakoelekea mtasema bado mko kwenye yuterasi....Me niko na 14 sitaki masihara
Hahaaa. Umepata mwaya. Ngoja nikuletee.Naomba choda
Haa haa,hawa Team Stress wamefunga PM zao,ngoja niwasiliane na INVISIBO...Mbona nimekuta lock kwa walioitwa wote pale juu.
Umetumia njia gani huko ndugu.
Hahahaaaa. Usijali kaka ake. Dada ako hana neno mwenyewe anapita kimya kimya.Lete nyongo nne za kuanzia[emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377] Ohoo, c★ emmyta kumbe yumo humu[emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]
KumbeeHahaaaaaa yamekuwa hayo tenaaaaaaa[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Nani anataka kuzeeka mjini jamaniHahaha
Mungu anakuona ujue
Nabadili nguo naogopa kunuka kikwapa 😛Madame kwa kubadili avatar[emoji14]
Asante mwayaHahaaa. Umepata mwaya. Ngoja nikuletee.
Shkamo[emoji23]Nisalimie aiseeee[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Nyie si hamtaki wazee?mnataka vibinti vidogo,acha tuendelee kurudisha umri nyumaMnakoelekea mtasema bado mko kwenye yuterasi....
Hamna bestNani anataka kuzeeka mjini jamani