Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akhuu!zeekeni nyieHutaki uzeee shogaa[emoji23] [emoji23]
HahaaHahaaaaa basi hata mimi nimeghairiii
HahahaAkhuu!zeekeni nyie
Hivi @ Neybright anamiaka mingapi?sio 19 kweli?[emoji23][emoji23][emoji23]
NimeonaYule wa darasa. [emoji23] [emoji23] [emoji23]
HahahaMtakuja darasa la 4B[emoji28] [emoji28] [emoji28]
Hahaaa jamani kumbe bado kabinti kabisa12 kafikisha jana[emoji28] [emoji28] [emoji28]
Kama kawaida[emoji23][emoji23]Mwakani una 13[emoji38] [emoji38]
HahahaSijafika huko bhana[emoji28] [emoji28] [emoji28] afu sisomi Mtakuja nasoma Feza[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Sijui ndio karudi,halafu anamrudia huyo mtu mbona alishafanyiwaHaaaaaaaaa naona kashatoka abroad[emoji28] [emoji28] [emoji28]
Kama ambavyo umeshindwa kuliuza jiwe lako kwa gharama yoyote, halikadhalika hupaswi kuyauza maisha yako wala kuyabadili kwa gharama yoyote, kwani wewe ni wa kipekee, hayuko wa mbadala wako."
- NIKUTAKIE SIKU NJEMA -
Nasubiri wengine maana hawa wote nimeshindwa kufika.Haa haa,hawa Team Stress wamefunga PM zao,ngoja niwasiliane na INVISIBO...