Pouwah tu karibu kijiweniYap mm mzima Nipe maneno?
Mmh anaendeleaje lakiniBado sijarudi ujue
SawaNimepoa japo naendelea kupoa
Hapa Kiembembuzi ktk Makongoro kuna purukushani kubwa sana. Sister duu na min yako huwezi.Mwenzangu aligoma kuniletea mie nkampotezea. Nitaenda yafuata mwenyewe
Yaaani wewe karibu tu uketiyaani hapa ndo inakuwaje yan
Sawa sawa wahenga hawakukosea kabisaHapana. Lakini ujue alalae mlango wazi huenda akabahatika kama mwenye bahati!
Hahaha. Yaani weweMe kulala sina usingizi slim ebu weka hizo mambo za tatu mzuka
Asante sanaPouwah tu karibu kijiweni
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ndio uniletee jamaan mapupu veep
Nitumie kwenye ezy pesa huo mgawo jamanKuna mgao wako wa 14000 [emoji23] [emoji23] [emoji23] ulijiandaa ku-drive Noah
Huko hamna hata redio ya Mbao inayoshika Redio Tanzania tu[emoji5] [emoji5]Huku niliko hamna hata TV
Mi bomba mbaya dadakeKaka akee za wewe
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mapupu huku kuna bibi mmoja wa Mwananyamala kwa mama zakaria, amemonopolize, anauziwe yeye tu! Labda mabandama na miguu ya kuku na vichwa!
Anaendelea poa... Weekend naweza tua makaziMmh anaendeleaje lakini
[emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
MmmmhHapa Kiembembuzi ktk Makongoro kuna purukushani kubwa sana. Sister duu na min yako huwezi.
AiseeSawa sawa wahenga hawakukosea kabisa
3 Mzuka imeleta balaa mtaani kwetu. Jamaa katangazwa kwa Tv kashinda m60. Kaenda huko wanakotoa cheque! Kurudi home, akiwa karibu na home kaona ukoo mzima umejaa barazani unamsubiria. Jamaa asizimie!Me kulala sina usingizi slim ebu weka hizo mambo za tatu mzuka
Beki wa tatu aendeshe nini sasaLeseni yako endeshea Nyumba mkuu.