Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Habari za kulala na kuamka?Mornie
Naunga hoja kwa ndioooooooooooo!!!!!!!.Nadhani tungekaribishana vizuri PM.
HahahaMiss you[emoji8] [emoji8]
Leo siku ya nini tena[emoji23] [emoji23]
Nimekuja mtoto mzuri mwenzangu
Karibu sana mtoto mzuri mwenzangu.Nimekuja mtoto mzuri mwenzangu
Missing you mingi mingi zaidiKaribu sana mtoto mzuri mwenzangu.
Miss u mingi mingi ujue.
Mzima lakini?Missing you mingi mingi zaidi
Mi mzima za kwako ?? ?Mzima lakini?
Umeanza kunisingizia?nyie si majirani"wapenzi" au umesahau[emoji23][emoji23][emoji23]Hapana baby huyo hana madhara ni jirani yangu kichwa kichafu mpenzi wake carba
Laiti ungejua sasa[emoji23]Hapana love, nilikuwa naenda kumsalimia shemeji carbamazepine wa Kichwa Kichafu tu
Salama kabisa my dear. Uwe na siku njema.Mi mzima za kwako ?? ?
Kama yepi mkuuInaonekana unatambua majukumu ya kuwa mke vile,
Siku ya walimu dunianiMiss you[emoji8] [emoji8]
Leo siku ya nini tena[emoji23] [emoji23]
Nadhan wanaoamka mda huu ww anawasngaa sio kwa kudamka kule mwanamamaKama yepi mkuu
Kudamka ni kawaida mkuu, kwa dunia hii nani analala mpaka saa moja!!! Kawaida naamka kumi na moja, tena hapo nshamaliza na kusaliNadhan wanaoamka mda huu ww anawasngaa sio kwa kudamka kule mwanamama
Sawa mama ila usiseme nan analala mpaka saa moja.Kudamka ni kawaida mkuu, kwa dunia hii nani analala mpaka saa moja!!! Kawaida naamka kumi na moja, tena hapo nshamaliza na kusali
MmmmhSawa mama ila usiseme nan analala mpaka saa moja.