Mwifwa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 48,474
- 125,866
Hicho kitendo kingewezekana, wewe ungekuwa ushafaidi sanaMngekula bata nyie Mwifwa [emoji1][emoji1] mnaosimamisha umri na kina sakayo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hicho kitendo kingewezekana, wewe ungekuwa ushafaidi sanaMngekula bata nyie Mwifwa [emoji1][emoji1] mnaosimamisha umri na kina sakayo
Sijambo,mamboCarba..
Hujambo wewe
Wapi KK?
Hapana mm kibibi gagula umri wangu ungeendelea tu mbeleHicho kitendo kingewezekana, wewe ungekuwa ushafaidi sana
Na Cole je humtafuti nilimkuta mmu huko ameweka uzi wake huko analialia [emoji1]Sijambo,mambo
Mwenyewe namtafuta
Nimemuona sehemu ameshangaa kweli kweli hata hajaniona mimiSijambo,mambo
Mwenyewe namtafuta
Huyo nimemuonaNa Cole je humtafuti nilimkuta mmu huko ameweka uzi wake huko analialia [emoji1]
Ukimwona mwambie namtafutaNimemuona sehemu ameshangaa kweli kweli hata hajaniona mimi
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Na Cole je humtafuti nilimkuta mmu huko ameweka uzi wake huko analialia [emoji1]
Tungeusimamisha bana,Hapana mm kibibi gagula umri wangu ungeendelea tu mbele
Hamna kuna uzi aliweka mmu wa mahusiano[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Anaupigia promo eeehh
Hapana me ujana sitakiTungeusimamisha bana,
Si unajua tena kuitwa baby ni raha sana[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Sitaki banaUkimwona mwambie namtafuta
AhaaaHamna kuna uzi aliweka mmu wa mahusiano
Basi utakula bata za kikubwaHapana me ujana sitaki
Kanitoroka tangu juzi ujue?Sitaki bana
Unamuachaje anazurura MMU hivyo?[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Mwache KK ajiachie bana, si unajua tena mjini ni full bataKanitoroka tangu juzi ujue?
Wee Kichwa Kichafu nakutafuta ujue
Unamtetea eeh!basi ukimwona msalimieMwache KK ajiachie bana, si unajua tena mjini ni full bata
Ilikuwa majuzi kitu kama hikoAhaaa
MMU na usiku huu haiachi watu salama
Usijali banaUnamtetea eeh!basi ukimwona msalimie
EwaaaaaUsijali bana
Nitamwambia ume mumiss sana