Mwifwa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 48,474
- 125,866
Sawa bana Shunie nitamuuliza Dada yangu emmyta kama anajua uhenga waakoMe kibibi gagula mwifwa shauri yako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa bana Shunie nitamuuliza Dada yangu emmyta kama anajua uhenga waakoMe kibibi gagula mwifwa shauri yako
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kumbe kuna uzi wa hoja mvurugano, ndoo kwaaanza nauona!!!
Asante mkuu, nimefurahi kuwakuta marafiki zangu hapaKaribu sana
Usiku mwema dada usisahau kusali wakati wa kulalaMe kibibi gagula mwifwa shauri yako
Asante mkuu, nimefurahi kukuta hapaKaribu sana kiongozi
Jirani una mwendo, unatembea si mchezo[emoji3] [emoji3]Karibu jirani
[emoji106] [emoji106][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Pamoja sana kiongozi.Asante mkuu, nimefurahi kukuta hapa
Pamoja kiongoziPamoja sana kiongozi.
Hapa ni kijiwe baada ya mihangaiko ya kutwa nzima tunakutana kubadilisha mawili matatu kabla ya kurejea kunako Tanform Dodoma
Mkuu kibumbu, habari za sikuNeybright,Mwifwa na wengineo kwa leo naweka mpira kwapani,Mungu awatangulie usiku wote tukutane kesho tukiwa wazima wa afya
Nzuri mkuuMkuu kibumbu, habari za siku
Na wewe pia mkuu kibumbuNeybright,Mwifwa na wengineo kwa leo naweka mpira kwapani,Mungu awatangulie usiku wote tukutane kesho tukiwa wazima wa afya
Kila la kheri kibumbu ulale salama.Neybright,Mwifwa na wengineo kwa leo naweka mpira kwapani,Mungu awatangulie usiku wote tukutane kesho tukiwa wazima wa afya
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15][emoji137] .