Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 154,929
- 459,607
Hulali kwa nini tenaYaani Leo silali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hulali kwa nini tenaYaani Leo silali
Ahahaha wa shunie na youngbloodHuo mkulano veeepeee
Where is elisaTamthilia gani hiyo?
Hongera ndugu yake gudume sasa wamekupa mihela au mshindi ndio anapata nini tenaMpaka sasa mimi mshindi wa kule!
Huo uzi ni mwendelezo wa neno la mwisho kila post, ukijibiwa na mmoja ndio imetoka ivoo maana atakayekujibu lazima apindishe mwelekeo wa majibizanoKweli Mwifwa huwa nafika nawasoma tu na kutoka sielewi mie kuna siku nimepost nikachuniwa toka siku hiyo sijarudi
Mmh youngblood kumbe we muhandsome basi naishia hapa me huwa napenda sura ngumu wale wenye sura za babaNipm nikupe pich yangu uweke, nakuhakikishia pm utakuwa unazikimbia
Ahahhahaa mchochezi sanaLeo meno tu naona
Kule hamna kuchuniana ila ukiufuatilia vizuri utauelewa na kuufurahia tuMe walinichunia sijui mnajuana wenyewe kule kwa kujuana
[emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8] lala unono darling damu ya Yesu ikulinde usiku woteUsiku mwema wapendwa mlale salama.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] mwehu wewe tamthilia ya mwaka 47 hiyoShades of sin
Mtoe manyoya lakini msije mkaanza kukohoa bureAhahaha wa shunie na youngblood
Mwambie shemeji yako kama muhandsome nimeshindwa mieHaha
Hiyo picha veeepee
Hata siiuji hiyoWhere is elisa
Khaaa hiyo toka nipo mdogo mpaka Leo kibibi gagula ipo tuAhaaa.
Nilidhani Isidingo
Mwenye macho haambiwi tuleMbona mm hujani tag!
Siji mpaka unitag.
Ulalae unono nawe mwifwa Yesu akulindeMlale salama
Kunako majaliwa tena
Sasa mtakulana saa ngapi mbona mnaagana[emoji2] [emoji2] [emoji2][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8] lala unono darling damu ya Yesu ikulinde usiku wote
Mtoto ungetakiwa uwe kwa bed toka saa mbili jamanShunie wengine bado watoto hayo maneno veeepeee
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] mwehu wewe tamthilia ya mwaka 47 hiyo