Antonio Conte
JF-Expert Member
- Dec 6, 2017
- 1,085
- 1,741
BwahahahaaaasUkitaka ufanikiwe lazima uwe na silaha mpya na imara.
Mpokee mgeni Shunie
Shunie asante kwa kunikaribisha..Karibu sana mgeni bado uko na kamba mguuni jisikie upo nyumbani ila humu kila mwanamke ni mke wa mtu hakuna single lady
Lkn tafwadhali naomba niwe mchepuko wa mke wa mtu naahidi kumpenda to the maximum na kumuheshimu nikimuona mumewe tu nakaa kushoto