Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AiseeeHahaha, wala usiwe na wasiwasi na hilo jina babe wangu, hilo nilipewa na babu yangu wakati nikiwa mdogo.
Nini tena shem wakeAiseee
Nataka nileft Shem....Next Sunday, hebu fafanua kidogo shem
Babu yako atakuwa alikuwa baharia long time kitamboHahaha, wala usiwe na wasiwasi na hilo jina babe wangu, hilo nilipewa na babu yangu wakati nikiwa mdogo.
YoungNini tena shem wake
Nitaandamana na mabangoNataka nileft Shem....
Tutakutana huko duniani
Babu yangu alikuja meli moja na Vasco da GamaBabu yako atakuwa alikuwa baharia long time kitambo
Aaaah KumbeBabu yangu alikuja meli moja na Vasco da Gama
Utakuwa unaijua sana geography!Babu yangu alikuja meli moja na Vasco da Gama
He he
Mmh ujue na me unanifanya nileftHaha
Nitakumiss ujue.... Nataka nileft mie
Tena nitaongeza zaidi babeAtawacheka nyie, mimi kwangu ataongeza mahabat!!!
Yote yanawezekanaNahisi hivyo
Ebu mwacheni babe wanguYoungblood ni msaliti kama le prof wa Buguruni
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] aiseeYoungblood ni msaliti kama le prof wa Buguruni
Mmh babe sio mambo ya Ben10 kama anavyosema sakayoHahaha, wala usiwe na wasiwasi na hilo jina babe wangu, hilo nilipewa na babu yangu wakati nikiwa mdogo.
Ebu mbembeleze jirani yako hivi huoni anataka kuleft jfNajihisi kama ndio Mimi mkuu! Ukifeli weee tumefeli sote!
Ahahha na hayo piaAkwambie yale mengine, sio haya
Niko seriousNitaandamana na mabango