Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 154,929
- 459,607
Hapana kawahi leo saa 3Hahahahaha
Ndo midaaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana kawahi leo saa 3Hahahahaha
Ndo midaaaa
HahahahahaAhahh hivi ndio ninii kuniacha mataa pm ndio umuonee huruma sasa shem darling wako
Mfungulie hebuu[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Shem darling anataka kuomba maombi akuje pm
YaaniAhahhh tuzoom tu hakuna namna
Hivi una ninii lakini mbona kicheko tenaHahahahaha
Bi mkubwa kawahisha msosiHapana kawahi leo saa 3
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] nimecheka sana mara paap na janjaro wanguMfungulie hebuu
Ebu nitumie zile picha basiHahahahaha
[emoji3][emoji3][emoji3] halaf kesho atajifanya nilikua najipikilishaBi mkubwa kawahisha msosi
Nakusalimu jirani[emoji137] [emoji137]Aiseee
Poa jiraniMambo jirani
pale Dodoma kuna sehemu panaitwa MALAIKA LOUNGE, hapafai kabisa!Hatujambo slim vipi wewe pole na mambo ya chama posho vipiii hili ndio la maana
@sakayo [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] ukuje huku dishi limeenda upande mwingine nilichomuuliza na nilichojibiwa woiii acha nijilaliepale Dodoma kuna sehemu panaitwa MALAIKA LOUNGE, hapafai kabisa!
Haya ngoja nitangulie kulala kwenye kochi[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kuanzia usiku mnene huko na kuendelea
Leo unalala mwenyewe!pale Dodoma kuna sehemu panaitwa MALAIKA LOUNGE, hapafai kabisa!
Nilijua tu utaleta mrejesho wa namna hiipale Dodoma kuna sehemu panaitwa MALAIKA LOUNGE, hapafai kabisa!
Fyeza siyo tatizo, tatizo ni nizitumbue na nani. Karibu, huku tunakula supu kwa vijiti vya Kichina.Lakini mahela si bado yapo au yameisha