Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,448
MwenyeweAhahahhh mfyuuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MwenyeweAhahahhh mfyuuu
Hamna nimefurahi tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ninii sasa
Salama kabisa shem, mimi Christmas [emoji319] wala siiwazii sana..nasubiri Jumatano ifike tu si unajua tena siku hiyo kuna nini.Nzuri Shem
Habari za maandalizi ya siku kuu
Ni kweli eee[emoji23] [emoji23]Ahahahhh kwahiyo babe umecheka kuitwa mtoto unayebemendwa
Uko poa babe,hope siku yako imeenda vizuri.Salama young dar es salaam wangu mimi
Mimi wala sijapotea mkuu, nimejaa tele.afu mkuu umepotea, nawahesabu watu ote mnaopotea kadri sikukuu inavokaribia!
Mpe kubwa kulikoMwenyewe
Hasameheki huyo amenikosea sana leo.Bae wa Shunie naomba umsamehe Jirani yangu...
Tena babe usimsamehe kabisaHasameheki huyo amenikosea sana leo.
Bichwa lako tuna kesi na weweMpe kubwa kuliko
Imeenda vizuri mnoo babe sijui kwa upande wako leo vipi usingizi upo au unakesha kama janaUko poa babe,hope siku yako imeenda vizuri.
Ahahhah mule mule hajakoseaNi kweli eee[emoji23] [emoji23]
Siku muhimu na safari yetuSalama kabisa shem, mimi Christmas [emoji319] wala siiwazii sana..nasubiri Jumatano ifike tu si unajua tena siku hiyo kuna nini.
Ndiyo maana nakupenda [emoji8] [emoji8]Tena babe usimsamehe kabisa
Yani hapa tayari nimeanza kusinzia[emoji23] muda si mrefu nalala.Imeenda vizuri mnoo babe sijui kwa upande wako leo vipi usingizi upo au unakesha kama jana
Aisee!!!Ahahhah mule mule hajakosea
Yani I can't wait.Siku muhimu na safari yetu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Kama nakuona huko ulipoAisee!!!
He he sipati picha kama namuona slim atakavyokuja kujibuYani I can't wait.
Acha tu[emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Kama nakuona huko ulipo