Mwifwa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 48,474
- 125,866
Uchawi wenu nimeushtukiaAisee, kuna jambo
Hata me nahisi yaan tena zito
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uchawi wenu nimeushtukiaAisee, kuna jambo
Hata me nahisi yaan tena zito
Pole sana na misukosuko mdau wangu wa MapupuMkuu me niko na mume halaf hizo mambo na me tofauti nilishacha toka enzi zangu za usichana
Mia mia mkuuNawe pia
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Aki mgawe kwa Nissan nyeupe
Jirani[emoji137]Haya
Umeamkaje JiraniJirani[emoji137]
Popote tu ambapo zinaweza kutokaHivi Leo stress tunazitoa wapi mchana?
Mungu ni mwemaUmeamkaje Jirani
Kwani huwa zinatokea usiku tu?Hivi Leo stress tunazitoa wapi mchana?
Kumzaa slimTano ni zaidi ya God's gift!Hatutaki kukuzaa wewe atachukua akili zako
Bi Kidude una maneno!Ameen babe sio kwa kumzaa slim
Utakuwa hukutumika ipasavyo enzi za Azimio[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbavu zangu yaan we ni kivuruge nilijua tu utakuja kuvuruga mbona kikongwe mie mauno sina
Sisi wana psychology tunaamini awahie kulala analo analoliwahi kitandani!Sakayo kalala siku hizi analala mapema mnoo
Asante mkuu*USHAURI KWA WA MAMA WOTE!*
_Kama Kitasa Cha Mlango Wa Chumba cha House girl Ni Kibovu na Mumeo Hataki kukitengeneza, CHUKUA HATUA MWENYEWE_
NakutafutaUmeamkaje Jirani
Hapana miimi nikilala kama gogo sina hayo mauono feniEti shunie hii ni kweli?