Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 154,929
- 459,607
Me sitoi kwa ajili ya beer nikikupenda unanikula bila kunipa kitu hata mia yakoMlipe! Bia zake Umekunywa! Kutoa hutoi!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Me sitoi kwa ajili ya beer nikikupenda unanikula bila kunipa kitu hata mia yakoMlipe! Bia zake Umekunywa! Kutoa hutoi!
Zawadi anapokea sakayo kaka ebu mtafuteNilichelewa HBD nimekuja na zawadi nimekuta nyumbani umefunga..nkajua sababu sikutoa appointment,mzima lakini
Hapana young hata sijui nilichoguna lala tutaonana mwakani Mungu akipendaNini tena, mbona waguna mwanamke
Mkuu mmenisakama sana ngoja nibadirishe tuMkuu nikiona hii Id yako nafurahi sana yani[emoji23] [emoji23]
MmhMkuu nikiona hii Id yako nafurahi sana yani[emoji23] [emoji23]
AiseeMe sitoi kwa ajili ya beer nikikupenda unanikula bila kunipa kitu hata mia yako
Ohoo asante, ulale salamaHapana young hata sijui nilichoguna lala tutaonana mwakani Mungu akipenda
Kibumbu ndio nini[emoji23] [emoji23]Mkuu mmenisakama sana ngoja nibadirishe tu
Unajua maana ya kibumbu
Sasa babe umemsikia slim alivyosema eti nitatoa sitoi nimekunywa beer za watuAisee
Asante young ulale salama na weweOhoo asante, ulale salama
Dawa ya deni kulipaSasa babe umemsikia slim alivyosema eti nitatoa sitoi nimekunywa beer za watu
Sijui ni niniiUnajua maana ya kibumbu
Aaaah. Aaaah. Aaaah. Mi nasema bia umekunywa na ratiba hutoi! Wewe sijui unaenda wapi huko!Me sitoi kwa ajili ya beer nikikupenda unanikula bila kunipa kitu hata mia yako
Papuchi[emoji23] [emoji23]Sijui ni ninii
Mm nakunywa beer kwa hela zangu kwa jeuri yangu sio ya mwanaume jaman tena naogopa sana vya bureDawa ya deni kulipa
....unanikula bila kunipa kitu...Me sitoi kwa ajili ya beer nikikupenda unanikula bila kunipa kitu hata mia yako
Ebu niache mieAaaah. Aaaah. Aaaah. Mi nasema bia umekunywa na ratiba hutoi! Wewe sijui unaenda wapi huko!
MmhPapuchi[emoji23] [emoji23]
Habari ndio hiyo nikikupenda nakupa tu ushindwe wewe....unanikula bila kunipa kitu...