kibumbu
JF-Expert Member
- Mar 30, 2017
- 1,420
- 3,479
Mkuu mi hili ni jina tu,ila nimeona wengi wananiuliza.2018 naliacha nitakuja na ID nyingine naona hili jina wengi wanakwazikaKibumbu ndio nini[emoji23] [emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu mi hili ni jina tu,ila nimeona wengi wananiuliza.2018 naliacha nitakuja na ID nyingine naona hili jina wengi wanakwazikaKibumbu ndio nini[emoji23] [emoji23]
Afadhali mama... usipende vya bure mwaya usije ukafakamia savanna za watu yakakukuta kama yale yaliyomkuta yule bibie.Mm nakunywa beer kwa hela zangu kwa jeuri yangu sio ya mwanaume jaman tena naogopa sana vya bure
Omba mod wakusaidie tu kubadili, usifungue mpyaMkuu mi hili ni jina tu,ila nimeona wengi wananiuliza.2018 naliacha nitakuja na ID nyingine naona hili jina wengi wanakwazika
Usisahau kuniambia I'd utakayobadiriMkuu mi hili ni jina tu,ila nimeona wengi wananiuliza.2018 naliacha nitakuja na ID nyingine naona hili jina wengi wanakwazika
Ndiyo maana yake
Huo uchochezi mkuuUnajua maana ya kibumbu
Young me ni muoga sanaaa tena kwa mwanaume tuAfadhali mama... usipende vya bure mwaya usije ukafakamia savanna za watu yakakukuta kama yale yaliyomkuta yule bibie.
AsanteNdiyo maana yake
Daah.Habari ndio hiyo nikikupenda nakupa tu ushindwe wewe
Huo uchochezi mkuuUnajua maana ya kibumbu
Ogopa vivyo hivyo, ila kwangu usijaliYoung me ni muoga sanaaa tena kwa mwanaume tu
Huo uchochezi mkuuUnajua maana ya kibumbu
Huo uchochezi mkuuUnajua maana ya kibumbu
Veep weweDaah.
[emoji3] [emoji3] aiseeDaah.
Ahahahh kwako ndio zaidiOgopa vivyo hivyo, ila kwangu usijali
Siku zote story haziishi ndio maana umeona ametoka dokta shika, amekuja Kakobe...Hivi hiki kijiwe bado kina story motomoto?
Tawapa taarifa na itakua mwisho wa matumizi ya ID "kibumbu"Usisahau kuniambia I'd utakayobadiri
Sasa babe mimi pia waniogopaAhahahh kwako ndio zaidi