Stress Free Zone

Stress Free Zone

Ahahha yaan wewe kuna uzi wako niliusoma kila kitu unaweka kumbu kumbu kuanzia calls text mpaka pic ahahha
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] itabidi tu unizoee, sasa hapo wewe unaogopa nini, vitu vya kawaida tu
 
Haha nimekusoma mkuu , Kakobe kafunga mwaka kama ambavyo Gwajima alifunfua mwaka hawa maasikofu ni miongoni mwa watumishi wa Mungu ninao wapenda ,kwani wameweka unafiki pembeni
Kweli kabisa, though Tanzania bado sana sababu watu bado ni waoga kupindukia.
 
Nywila inahusiana nn na kuwapm mods au mm ndio sielewi
Nikitumia kifaa kingine zaidi ya hiki nilicho download app ya jf siwezi kutumia ID yangu,maana nywila nimesahau naona bora nije na ID nyingine ambayo taitumia kwenye kifaa chochote chenye access na internet
 
Back
Top Bottom