Kristonsia Nkya
JF-Expert Member
- Jun 24, 2013
- 302
- 292
Nalo neno japo*Stress ni pale unapokuta kibwana mdogo ambacho hakijaenda Shule kinamahela mpaka kinaumwa,halafu wewe na masters yako unapuyanga mwaka Wa nne,stress zaidi ni pale unapokumbuka ulimwambiaga dogo zingatia Shule utakufa maskini.....*
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Stress ni pale unapompa Msichana Lift halafu akazimia ndani ya Gari yako na humjui wala hupajui kwao. Ulimkuta tu Njiani ukamsaidia!!*Stress ni pale unapokuta kibwana mdogo ambacho hakijaenda Shule kinamahela mpaka kinaumwa,halafu wewe na masters yako unapuyanga mwaka Wa nne,stress zaidi ni pale unapokumbuka ulimwambiaga dogo zingatia Shule utakufa maskini.....*
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Hahaha.... Nothing love... Relax...
I just said, stress ni pale unapokuwa na pesa lakini huna matumizi nazo...
Hahahahaha duuhstress ni pale unywele wa sehem nyeti unashika kwenye boxer na uko mbele ya mama mkwe..
Stress ni pale unapofungua kaduka kako tena kwa mkopo, vitu hivi vinakusubiri. TRA, Halmashauri ya wilaya, Tfda, Afya ngazi ya kata. Punguzeni hizo kodi walala hoi tunaumia[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
bwayhermitTz
*Stress ni pale unapokuta kibwana mdogo ambacho hakijaenda Shule kinamahela mpaka kinaumwa,halafu wewe na masters yako unapuyanga mwaka Wa nne,stress zaidi ni pale unapokumbuka ulimwambiaga dogo zingatia Shule utakufa maskini.....*
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]