Kristonsia Nkya
JF-Expert Member
- Jun 24, 2013
- 302
- 292
*Stress ni pale unapokuta kibwana mdogo ambacho hakijaenda Shule kinamahela mpaka kinaumwa,halafu wewe na masters yako unapuyanga mwaka Wa nne,stress zaidi ni pale unapokumbuka ulimwambiaga dogo zingatia Shule utakufa maskini.....*
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]