Stress ni pale.....

Stress ni pale.....

*Stress ni pale unapokuta kibwana mdogo ambacho hakijaenda Shule kinamahela mpaka kinaumwa,halafu wewe na masters yako unapuyanga mwaka Wa nne,stress zaidi ni pale unapokumbuka ulimwambiaga dogo zingatia Shule utakufa maskini.....*
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
stress ni pale unapopewa cheo kikubwa, alafu huna elimu, umegushi vyeti, na public inajua umegushi vyeti na huna akili....lakini unapewa nafasi kuwa mwenyekiti wa wajumbe ambao ni maprofesa , ma phd holders, masters etc. unajikuta uanzie wapi kuongea uishie wapi, na hauamini kama wanakusikiliza au wanakupima!
 
stress ni pale haujui kiingereza, umeandikiwa cv nzuri kwa kiingereza, ukafika kwenye interview ukapigwa maswali yote kwa kiingereza.

stress ni pale una phd ya kubumba afu watu wanajua hilo....

stress ni pale umeweka headphone mbele za watu, ukatoa kamsauti fulani wewe haujui kama watu wanasikia kumbe....

stress ni pale unasinzia mbele za watu afu unatoa ushuzii mkubwa na wote wanageuka kukuangalia, wewe unastuka na unajua umefanya ilo tatizo na watu wote wanakushangaa hadi madem (ilimtokeaga jamaaangu mmoja, alipata shida balaa).
 
Back
Top Bottom