ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Mimi ninaweza kukaa siku nzima fresh tu nikiwa na mawazo ya kawaida ila inapofika saa moja jioni aisee mikazo naona ndo inazidi..yaani likianza tu giza kidogo
-mawazo ya majuto kuhusu mikopo na madeni sugu.
-majuto ya hela nilizotumia kunywa bia zilizogeuka kuwa mkojo,
-mawazo kuhusu hela nlizohonga kununua k wakati kimsingi kabisa k unastahili kupatiwa bure,
-mawazo ya kujuta ya kuuza mali zangu nilizonunua mwenyewe,
-mawazo ya uzembe katika mitihani kumbe nilipaswa nisomee makozi ya maana huko kisha nijiunge jeshi nisingeteseka hivi.
-mawazo ya kununua gari kwa mtu kumbe lilikiwa kimeo hatimaye likanitesa mpaka hata kuuzika likiwa bovu haiwezekani.
Mambo ni mengi sana ila nashukuru nikilalaga tu mawazo huo yanaondoka na kesho asubuhi naamka na ma hope mapya najipa matumaini kwamba sijachelewa kama ni hela nitapata tena hela hazijaisha bado zipo yaani inshort naishi fresh tu kwa siku mpya napambana kula kwanza chakula bora mchana kutwa na jioni beach naenda ku enjoy everyday ila ikifika tu saa moja aisee narudi kulekule kwenye mawazo tena kulalamika lalamika.
Wewe je stress zako zina mida maalumu au ni mida yote tu hakuna kuchekacheka.
-mawazo ya majuto kuhusu mikopo na madeni sugu.
-majuto ya hela nilizotumia kunywa bia zilizogeuka kuwa mkojo,
-mawazo kuhusu hela nlizohonga kununua k wakati kimsingi kabisa k unastahili kupatiwa bure,
-mawazo ya kujuta ya kuuza mali zangu nilizonunua mwenyewe,
-mawazo ya uzembe katika mitihani kumbe nilipaswa nisomee makozi ya maana huko kisha nijiunge jeshi nisingeteseka hivi.
-mawazo ya kununua gari kwa mtu kumbe lilikiwa kimeo hatimaye likanitesa mpaka hata kuuzika likiwa bovu haiwezekani.
Mambo ni mengi sana ila nashukuru nikilalaga tu mawazo huo yanaondoka na kesho asubuhi naamka na ma hope mapya najipa matumaini kwamba sijachelewa kama ni hela nitapata tena hela hazijaisha bado zipo yaani inshort naishi fresh tu kwa siku mpya napambana kula kwanza chakula bora mchana kutwa na jioni beach naenda ku enjoy everyday ila ikifika tu saa moja aisee narudi kulekule kwenye mawazo tena kulalamika lalamika.
Wewe je stress zako zina mida maalumu au ni mida yote tu hakuna kuchekacheka.