Stress zako huwa zinakuandamana zaidi mida gani katika siku?

Nakuwaga na stress mida ya alfajiri kunapoanza kupambazuka nikahangaike. Nakuwa nawaza mengi "sijui leo itakuwaje?". Ndiyo maana usiku ninapoweka mbavu natamani kusikuche.

Watanzania wengi hatuna furaha kutokana na mfumo wa maisha. Tunalala hoi, tunaamka hoi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…