BlackPanther
JF-Expert Member
- Nov 25, 2015
- 9,185
- 8,715
Wakuu! Mwenye kujuwa atuambie ni nini kimetokea baina yao? Fundi kama huyu utamuachaje kwenda urussi!!! badala yake anamchukua Higuain....Ndio maana timu inakuwa dependant on single man, Lapulga....Au wapo bora zaidi yake kwa namba 9?
Haya ukija kwa Dybala i don't think kama amemuita kikosini....all years hatunaga bahati na makocha,, huyu Sampaoli naye ni wale wale tu!