City Of Lies
JF-Expert Member
- Sep 8, 2011
- 4,925
- 6,137
Kweli mkuu, mpira si uwanjani tu bali huanzia nje ya uwanja.Sawa na benzema na kituko chake. Nidhamu sio uwanjani tu. Nje pia inahusika sana. Ukimchukua MTU kama Huyo anaweza akasababisha mgawanyiko. Kumbukeni Roy Kean ilibidi afukuzwe kambini (kambini ya Ireland) kwenye kombe LA dunia
Sahihi mkuu..Kuna wachezaji ukiwa nao inabidi kocha utafute mfumo utao wa fiti wote. Itakuwa ni jambo La ajabu kama Dyabala ataachwa kwa kisingizio kwamba anacheza nafasi moja na Messi.
Nani atakaba ?Inategemea na mfumo wa kocha!? Kama atacheza 3 4 3(3-4-2-1) yaan dybala na messi wakacheza nyuma ya aguero/icardi italeta impact kubwa sana.
Nidhamu ni muhimu sana ktk MpiràView attachment 748872
Wakuu! Mwenye kujuwa atuambie ni nini kimetokea baina yao? Fundi kama huyu utamuachaje kwenda urussi!!! badala yake anamchukua Higuain....Ndio maana timu inakuwa dependant on single man, Lapulga....Au wapo bora zaidi yake kwa namba 9?
Haya ukija kwa Dybala i don't think kama amemuita kikosini....all years hatunaga bahati na makocha,, huyu Sampaoli naye ni wale wale tu!
Dybala anacheza kutokea pembeni, so does Messi.Inategemea na mfumo wa kocha!? Kama atacheza 3 4 3(3-4-2-1) yaan dybala na messi wakacheza nyuma ya aguero/icardi italeta impact kubwa sana.
Inawezekana wakacheza pamoja. Mfano Messi huwa anacheza kama namba kumi ila anatokea kulia. Dyabala unaweza cheza kama pure winga either kulia au kushoto. Auu kama anaenda na 4-3-3 hiyo tatu ya mbele ikawa na Messi, Dyabala, na striker mmoja. Huo ni mfano ila bado kuna jinsi nyingi kocha anazo weza kuwatumia wote.Dybala anacheza kutokea pembeni, so does Messi.
Sasa sielewi huo mfumo unaweza vipi kuruhusu wote wacheze.
Argentina wana wachezaji wengi sana wanaocheza forward (Aguero,Higuain,Messi) na wengine kibao tatizo kubwa la Icardi ni nidhamu mbovu ndio maana Barca walimuacha aondoke
ugomvi n messi unamtafuna uyu
Ni kweli mkuu tena jamaa alimlea kama mdogo wakeMauro Icard kinachomtoa kwenye timu ni shutuma za kuchukua demu wa mchezaji mwenzie
Mkuu kwa suala hili kwa timu kama ya Argentina wala sio jambo geni hata kidogo.
Kama kumbukumbu zako ziko sawa, World Cup ya mwaka 1998 iliyifanyika pale Ufaransa, Mchezaji Fernando Redondo, moja kati ya viungo bora wa chini ( namba 6 ) kuwahi kucheza soka aliachwa huku akiwa katika fomu ya hali ya juu sanakwa kuiwezesha Real Madrid kuwa Ubingwa wa Uefa Champions League.
Na kisa cha kuachwa kwenye kikosi kile ilikuwa ni kukataa kwake kunyoa nywele tu.
Kwahivyo haya ya akina Icardi ni marudio ya matukio ya zamani ambayo yalikwisha tokea.
Mauro Icard wa Inter Milan Jamaa ana goli 25 pale Italy.[QUOTEPicard ckPanther, post: 26746555, member: 340723"]Mchezaji yupi huyo Mkuu? Dybala pia ameitwa?
Sampaoli ni mwendawazimu, huwez kumuacha dybala na icardi katika timu yako..
lakin mkuu una aguero na higuain kumbuka, pia angalia compatibility ya wachezaji wa argentina je icardi yuko compatible na the rest? aguero na higuain wanafit vzuri kwenye timu zaid ya icardi, hebu fikiria pia diego costa anafit vzuri kwe kikosi cha spain?ni heri umpange morata au isco aende cheza tisa timu itacheza vizuri.......higuain anaofa vitu vingi sana kwe timu anascore lakin anaweza kuwachezesha wenzie pale inapobidi the same to aguero......binafsi sishangai wala kulaumu icardi kuachwa ingawa dybala angemuita tu japokuwa hawez kuanza mbele ya messi lakin yeye ndio atakayechukua mikoba yake baada ya WC ..............icardi anafaa kwe timu zinazocheza mipira migumu kama italy vile sio argentinaView attachment 748872
Wakuu! Mwenye kujuwa atuambie ni nini kimetokea baina yao? Fundi kama huyu utamuachaje kwenda urussi!!! badala yake anamchukua Higuain....Ndio maana timu inakuwa dependant on single man, Lapulga....Au wapo bora zaidi yake kwa namba 9?
Haya ukija kwa Dybala i don't think kama amemuita kikosini....all years hatunaga bahati na makocha,, huyu Sampaoli naye ni wale wale tu!
nafasi wali[pewa kwe kufuzu kombe la dunia,kama ulikua unaangalia mechi zao unaweza kuona hali ya mambo ilivyokuwaInawezekana ikawa ishu ya kutafuna Mke wa mtua aauuu kocha ana yake tu. Ila tatizo Aguero na Higuain wamesha pewa nafasi world cup mbili ila hamna walicho fanya. Ningekuwa Mimi ndio kocha ningejaribu kutumia na hawa wengine.
Inategemea na mfumo wa kocha!? Kama atacheza 3 4 3(3-4-2-1) yaan dybala na messi wakacheza nyuma ya aguero/icardi italeta impact kubwa sana.
Makocha wengine huwa wana kasumba flani. Binafsi sijawahi kumkubali Kibonge Higuain