Strip tease. . .

Wish we were doing all of these stuffs. . . . . .
 
Wenye wake vibonge msiombe huu mchezo mchezewe sex dancing ni tamu kwa shaped thin girl only.KAMA UNABISHA OMBA SHOW KWA BONGE WAKO UONE.
 
Lizzy, look at other side coin, why only men? The so called independent women are hiring the services of male strippers as treats for birthdays and hen nights.
It is not uncommon nowadays to hear females contemplating on visiting a male strippers club!!
When did it become acceptable for females to enjoy such forms of entertainment???
 
Lizzy hii thread yako imenifanya niwaze sana aisee.....hasa ilipokuja issue ya jumbo (ukubwa wa umbo na minyama uzembe kwa hisani ya Klorokwini na Kongosho) Hiviiiii kwa kibantu mipako ya hina, mifukizo ya udi, khanga za India zilolowesha kusudi na zile catwalk tunazozifanyaga chumbani in sexy lingeries au night dresses ....haiwezikuwa defined kama aina ya pekee ya strip teasing? Au strip ni lazima uchojoe? lengo si ni lile lile?
 

Haahahahah........... we kweli umedata shemeji. Dah..........haya good lucky kwa wenye miguu ya bia!!
 
nadhani nazo zina mvuto wa dance tu.
Hiyo mifukizo ya udi na kijikanga kimoja cha india tena chepeeesiiii na usiwe na kitu ingine na nilisikia siri ya kanga kiwe kinakataa kataa kufungika mara kinataka kuanguka anguka.

 
nadhani nazo zina mvuto wa dance tu.
Hiyo mifukizo ya udi na kijikanga kimoja cha india tena chepeeesiiii na usiwe na kitu ingine na nilisikia siri ya kanga kiwe kinakataa kataa kufungika mara kinataka kuanguka anguka.

Kongosho you are talking hahahha mie namkumbuka nyamayao na kumruka mtu na kujiangushia kifuani au kuogopa mende.

Hahahah hakifungi bidada, na cha kushangaza bi dada shughuli zakushika, kama vipi wajitia kupanda juu ya meza ati waikagua balbu ya chumbani mara kijikangha vuuuuu chini afu kukiokota sasa ujisetire, inachukua masaa!

Ila kuna pia zile za kuwasha TV, bibii remote unayo but you refer to manual..mbele ya Mr au waiwasha tu kwa raha zako
 
nadhani nazo zina mvuto wa dance tu.
Hiyo mifukizo ya udi na kijikanga kimoja cha india tena chepeeesiiii na usiwe na kitu ingine na nilisikia siri ya kanga kiwe kinakataa kataa kufungika mara kinataka kuanguka anguka.
Wewe mpira umeanza rudi kule Santiago Bernabeu.
 
Shem! hata mimi limwanamke kama kila siku linaniletea ayo mapozi ya kuvua nguo kwa muziki nitalifikiria ni freemason tu. Haya mambo yanatakiwa yawe once in a grey moon.

....hahahaha, umedata!!!!


....e bana kwakuwa wewe ni fido dido unaona wote wanakoseshwa pumzi ee?
fikiria Mzee Komba anachezewa hiyo strip tease na kabinti kama Lulu vile!...

Hahahah Shemeji Klorokwini na Babu DC loh..........Bana sasa hapa mwansema mie mjue! Kilo 105 na lap dance mwe..... ngoja njirudie kwenye mdumange wangu mie hayo malap dance niwaachie viportable kina Lizzy mwe!!

Mwj1 juu ya mstari....
"striptease" ya mdumange, baikoko, khanga moko mbendembende "laki si pesa!" ndio niipendayo miye....!
 
Umeongea pwenti ya maana sana konnie, unaona limama lina hips kama JLo kumbe maboksi matupu, ukifika nae gesti akivua yale maboksi yake tu unamkumbuka Mungu na Evolution. Nyambaaf zao! hapa loya nimeongea kwa hasira sana

....hahahahahahaha....e bana weeee! mie mwenyezi mungu ameninusuru mpaka umri huu sijawahi kutana na 'mazingaombwe' hayo....duuuhhh!? shida yote ya nini? ..nimeridhika na naturals za soulmate wangu...
 
Mwj1 juu ya mstari....
"striptease" ya mdumange, baikoko, khanga moko mbendembende "laki si pesa!" ndio niipendayo miye....!

Hahahah..hiyo utaipata mant'ahofu ila itabidi uwe wafungwa macho maana tushaambiwa na loya majiumbo mengine yatisha.........
 
....hahahahahahaha....e bana weeee! mie mwenyezi mungu ameninusuru mpaka umri huu sijawahi kutana na 'mazingaombwe' hayo....duuuhhh!? shida yote ya nini? ..nimeridhika na naturals za soulmate wangu...

Hahahaha.......hizo za 'Embu"!! kweli kipenda roho mpenzi wangu!!
 
 
Wenye wake vibonge msiombe huu mchezo mchezewe sex dancing ni tamu kwa shaped thin girl only.KAMA UNABISHA OMBA SHOW KWA BONGE WAKO UONE.
ngoja niombe show kwa bonge konnie.
 
Haahahahah........... we kweli umedata shemeji. Dah..........haya good lucky kwa wenye miguu ya bia!!



....hahahahahahaha....e bana weeee! mie mwenyezi mungu ameninusuru mpaka umri huu sijawahi kutana na 'mazingaombwe' hayo....duuuhhh!? shida yote ya nini? ..nimeridhika na naturals za soulmate wangu...

heheeh MwanajamiiOne na Mbu ile kitu baikoko bana acheni tu, kuna video yao moja niliiangalia nikajikuta nasahau surname yangu burebure. Sasa zile ndio strip tease za kibantu lakini zifanywe behond closed doors sio hazarani
 
Last edited by a moderator:
Reactions: Mbu
Haya mama mwaga hapa hiyo tuition ya vikorombwezo tukusikie.
Halafu ukiliona lichuchu mahali liambie nalitafuta na kopo la salfyuriki asidi.

Bishanga embu tuache jamani. . .kwani tumekukosea nini?
 
Last edited by a moderator:
Haya mama mwaga hapa hiyo tuition ya vikorombwezo tukusikie.
Halafu ukiliona lichuchu mahali liambie nalitafuta na kopo la salfyuriki asidi.

Bishanga embu tuache jamani. . .kwani tumekukosea nini??
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…