klorokwini
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 8,647
- 5,145
Lizzyklorokwini
Hivi lawyer na wewe hua unadanganyika kama vile umetoka bush jana? Hua hayalingani bana. . .yani ni 1 x 0.89 na sio 1x1.
Linapokuja suala la kutamani kwa macho na hii jinsia yetu takriban wengi wetu tunadanganyika including raisi wetu. Sisi tukiona linatikisika tu vipimo vyote vinapotea aisee. Mungu atatulipia lakini
Last edited by a moderator: