Strong internet tayari watu wa IT njooni tujenge mawazo chanya

Strong internet tayari watu wa IT njooni tujenge mawazo chanya

Njiwa wangu

Senior Member
Joined
Dec 5, 2020
Posts
146
Reaction score
289
Habarini wakuu, naomba kuingia kwenye mada,

Kwanza shukrani kwa wote mlionisaidia kunikutanisha na provider wa internet na nimefanikiwa,

Nimekuja kwenu vijana niliomaliza chuo kwa upande wa IT na ambao bado hamjaingia kwenye ajira na bado hakuna sehemu ya kujishikiza na una wazo zuri ila hujui wapi unaanzia niwaombe karibuni sana nipate mawazo yenu nini tunaweza kufanya hata mwisho wa siku tuwe na app nzuri na hata kututambulisha kimataifa na kunufaika kwayo.

Wale wote ambao unafikiri kupata nafasi ya kuja kwangu na kuja kuanza kudownload game na move kama una mawazo hayo tafuta kaa mbali hapa nahitaji watu ambao wana mawazo chanya na uchungu wa maisha karibuni sana mjadala huu tutauundia group la whatsap na kupata mawazo na nitahitaji watu 10 Bora hawa iwe mvua ama jua nitakufa nao kuhakikisha tunafanikiwa kula na nauli zitapatikana.

Mahali ni Dar
Karibu
WhatsApp
0622360382
 
Mimi nina wazo ila naogopa hizi patnership za kibongo za hela kuingia tu na mtu kujifanya anaijua hela kuliko wenzie! Mwanzoni mnakuwa pamoja vizuri tu kuingia huku na kule kufanya jambo lenu lifanikiwe. Ila mgodi ukishaanza kutema kuna mmoja ataona kama anadhulumiwa ili atoke akaanzishe app yake basing on your kernel.

Patnership zinazoanzia kwenye msingi wa njaa huwa ngumu sana kuisha salama.
 
Mimi nina wazo ila naogopa hizi patnership za kibongo za hela kuingia tu na mtu kujifanya anaijua hela kuliko wenzie!

Patnership zinazoanzia kwenye msingi wa njaa huwa ngumu sana kuisha salama.
Tupo tofauti mkuu kila mtu na akili zake mpaka nafikia hatua hii ujue kuna jambo nimeliwaza na kunipeleka mbali kuona bila umoja huwezi fika mbali
 
Back
Top Bottom