strongest currency sometimes cannot determine economy

strongest currency sometimes cannot determine economy

Kwa hivyo dhamani ya shilingi ya Kenya ni bure tu? Unadhani hata tukiingia kwenye 'digital currency' ndo hamna 'exchange rates'? Kuna vitu vingine si vya kubisha bana! Za madafu zitabaki kuwa za madafu tu, koma kujiliwaza bure.
Jaribu kujielimisha na neno Currency Re-denomination, Ghana walipitia huko 2007. DRC ilikuwa hivyo hivyo leo sio hivyo, wakenya, shule muhimu jamani.
 
Povu gani bana. Kenya bado tunatumiaga coins jombaa. Kwenu andazi moja shilingi mia, soda kwa mkate elfu na upuuzi juu yake! Wanaume wenye midevu mnatembea na magazeti kwenye wallet! Hivi karibuni ndo mtaanza kuyapakia kwenye magunia! 🙂
Mbavu zangu😡😡😀😀😀😀😀😀
 
Lazima waje Kenya, maanake kwenye zile shule zao, wanaziitaga English medium. Huwa wanafunzwa kwamba, yule mnyama mwenye shingo ndeeefu, anayekula majani yaliyo juu kabisa kwenye miti mirefu, kwa lugha ya kiingereza huwa anaitwa rat! Hehehe! 😀😀😀
Hahaa ze panyazz[emoji3] [emoji3] [emoji239] [emoji241] [emoji191] [emoji202] [emoji196]
 
Jaribu kujielimisha na neno Currency Re-denomination, Ghana walipitia huko 2007. DRC ilikuwa hivyo hivyo leo sio hivyo, wakenya, shule muhimu jamani.
Elimu, elimu, elimu ndo muhimu sio shule. Mbona ikifika siku ya kupiga kura kuna wengi tu huwa wanafika kwenye shule? Hapo kwa elimu watz mna mengi sana ya kujifunza kutoka kwa wakenya! Cheki mada ya uzi huu. Cheki ubishi unaouleta hapa. Eti ulidhani kwenye 'digital currency' thamani ya pesa na 'exchange rate' hazitiliwi maanani. Eti pesa za madafu zitakuwa sawa na za Kenya! 😀 Baada ya kushindwa kujibu hoja yangu umefika na mapya, 're-denomination'! Hivi huwa unadhani wakenya walipitia kule St. Kayumba, eti utang'aa kwa kutupia maneno ambayo ni misamiati kwako tu? Mbona hiyo ni Intro to Biz 101? Huna hoja, jukwaa la mahusiano na mapenzi linakuhusu!
 
Kwa hizi centi zangu kidogo kwa account yangu hapa nairobee pindi nikitinga apo bongo mm bilionea mazee!
IMG-20180210-WA0004.jpg
 
Elimu, elimu, elimu ndo muhimu sio shule. Mbona ikifika siku ya kupiga kura kuna wengi tu huwa wanafika kwenye shule? Hapo kwa elimu watz mna mengi sana ya kujifunza kutoka kwa wakenya! Cheki mada ya uzi huu. Cheki ubishi unaouleta hapa. Eti ulidhani kwenye 'digital currency' thamani ya pesa na 'exchange rate' hazitiliwi maanani. Eti pesa za madafu zitakuwa sawa na za Kenya! 😀 Baada ya kushindwa kujibu hoja yangu umefika na mapya, 're-denomination'! Hivi huwa unadhani wakenya walipitia kule St. Kayumba, eti utang'aa kwa kutupia maneno ambayo ni misamiati kwako tu? Mbona hiyo ni Intro to Biz 101? Huna hoja, jukwaa la mahusiano na mapenzi linakuhusu!
Re-denomination inekushinda kuelewa, kwa kutumia njia hiyo tunaweza kigeuza thamani ya pesa yetu ikaoneka juu ya Kenya lakini hiyo pekeyake itaonyesha picha halisi ya uchumi? mada hapa ni value ya currency haionyeshi ukubwa wa uchumi. Lakini wakenya mnahamisha milima kwa kupoteza maana halisi ya hii mada.
 
Re-denomination inekushinda kuelewa, kwa kutumia njia hiyo tunaweza kigeuza thamani ya pesa yetu ikaoneka juu ya Kenya lakini hiyo pekeyake itaonyesha picha halisi ya uchumi? mada hapa ni value ya currency haionyeshi ukubwa wa uchumi. Lakini wakenya mnahamisha milima kwa kupoteza maana halisi ya hii mada.
Ahaa! Kumbe unakubali mwenyewe kwamba uchumi wa Tz ukilinganishwa na wa Kenya ni bado sana? Ila shilingi ya Tz hata muifanyeje, ngumu sana kuwa na thamani ya juu zaidi ya shilingi ya Kenya. Wewe jiulize kwanini imebakia hivo miaka nenda miaka rudi? Naona matumaini yako yote umeyatia kwenye kapu moja. Kapu la Kenya kutaharibika. Kijana utangoja sana, hizo ni kama dua za kuku, kamwe hazitomfikia mwewe! Nikirudi kwenye gia yako, na unavoibadilisha hewani. Re-denomination nilikuambia ni Intro to bizness 101 huku Kenya. Sijui kama umeelewa namaanisha nini? As things stand, Kenyan currency has a higher value than Tanzania's. When that happens halla at your boy! Siku nyingine usijaribu kuhadaa watz wenzako kwamba thamani ya pesa inapotea ikifika kwenye 'digital currency'. Thamani ya tzshs inabaki ya tzshs na ya KES hivo hivo!
 
Ahaa! Kumbe unakubali mwenyewe kwamba uchumi wa Tz ukilinganishwa na wa Kenya ni bado sana? Ila shilingi ya Tz hata muifanyeje, ngumu sana kuwa na thamani ya juu zaidi ya shilingi ya Kenya. Wewe jiulize kwanini imebakia hivo miaka nenda miaka rudi? Naona matumaini yako yote umeyatia kwenye kapu moja. Kapu la Kenya kutaharibika. Kijana utangoja sana, hizo ni kama dua za kuku, kamwe hazitomfikia mwewe! Nikirudi kwenye gia yako, na unavoibadilisha hewani. Re-denomination nilikuambia ni Intro to bizness 101 huku Kenya. Sijui kama umeelewa namaanisha nini? As things stand, Kenyan currency has a higher value than Tanzania's. When that happens halla at your boy! Siku nyingine usijaribu kuhadaa watz wenzako kwamba thamani ya pesa inapotea ikifika kwenye 'digital currency'. Thamani ya tzshs inabaki ya tzshs na ya KES hivo hivo!
Currency re domination ati nini huko Kenya?? Duh, bora nimcharazie mbuzi guitar kuliko kuwaelemisha wakenya hapa JF. Anyway taratibu utaelewa.

Kwahiyo kama hela ya Tanzania haina uwezo wa kufikia ya Kenya, je ni lini KShs itaifikia Ethiopian Birr?? Na Ethiopia ilikuwa wapi kiuchumi 90s na iko wapi leo? Jibu la haya mswali yatamaliza utata.
 
huyu jamaa ana akili za kupe jamani....nadhani ni yule jamaa wa como estas sijui brazil sijui nini😀😀😀😀akili za kitumwa...ndio maana sasa lo kataja Japan...kasahau kwao tz watu wanakufa kwa umaskini wa kukotwakama gunia
 
Lazima waje Kenya, maanake kwenye zile shule zao, wanaziitaga English medium. Huwa wanafunzwa kwamba, yule mnyama mwenye shingo ndeeefu, anayekula majani yaliyo juu kabisa kwenye miti mirefu, kwa lugha ya kiingereza huwa anaitwa rat! Hehehe! 😀😀😀
sasa we kama ukijua kuwa anaitwa giraffe kwa lugha ya kiingereza,inakusaidia nini??mnajiita mna elimu nzuri na haiwasaidii,hamjitambui,mmejawa na fikra za kitumwa bado hadi karne hii..wakenya mnatuaibisha ukanda huu wa Africa mashariki!!
 
cordoba.....

Umeanza vizuri ya kwamba hujaja kutuponda,sawa. Ni kweli strong currency yetu (Ksh) inaweza kuwa na value iyo hiyo ikilinganishwa na weak currency yenu ya Tzs. Mfano, mkate hapa ni Tzs.1,200 ambao ni Ksh 50/55......ina maana hatujapishana saaaana.

Problem yangu na wewe ni kutuweka in the same basket na sh*thole country kama Burundi. Hapo umetudhalilisha pakubwa. Ututake radhi..................
 
sasa we kama ukijua kuwa anaitwa giraffe kwa lugha ya kiingereza,inakusaidia nini??mnajiita mna elimu nzuri na haiwasaidii,hamjitambui,mmejawa na fikra za kitumwa bado hadi karne hii..wakenya mnatuaibisha ukanda huu wa Africa mashariki!!
Kumbe unaelewa kwamba ni Giraffe? Hehe 😀 Tulia mkuu, nilikuwa natania tu!
Nakipenda na kukienzi kiswahili. Kama mmeamua ni kiswahili, na iwe hivyo tu. Natamani sana kama serikali yetu pia, huku Kenya, ingefanya mikakati ya kukikuza kiswahili. Hii ndo lugha kuu inayotutambulisha sisi kama wenyeji wa Afrika mashariki.
 
Back
Top Bottom