Studies zinaonesha Tanzania Tuna jamii ya mbilikimo/ Pygmies! sasa najiuliza ni kabila gan hilo?

Technophilic Pool

JF-Expert Member
Joined
Jan 18, 2024
Posts
2,597
Reaction score
3,965
Wakuu mi huwa napenda kufatilia mambo ambayo hayafuatiliwi na watu wengine.

Hii jamii ya pygymies inayopatikana tanzania ni ipi?


Ndugu zangu waha mnisamehe nauliza tu maana waha wengi ni wafupi sana.

Ni kwa ajili ya kujifunza

Mfano jamii za pygmies kwene nchi mbalimbali

Rwanda na Burundu -kabila la Twaa
uganda -kabila la Batwaa
DRC -kabila la wWambuti

 
Zambia ,Namibia na tanzania
 

Attachments

  • 024E9DBF-EEAB-4F07-809B-1BB856DCCA65.jpeg
    1.2 MB · Views: 5
Kigoma moja hiyoo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…