Chuo si majengo tu. Ni vitu vingi saana kuanzia IT, uwezo wa waalimu na exposure ktk dunia ya leo kumfanya mtu awe competitive.
Sina hakika kama unaexposure zote hizo ulizoziita za chini na za juu. Binafsi ninazo zoote za UDSM na nje katika level mbalimbali. Ukweli kabisa we have a long way to go. Km mtu unapata opportunity, pls usisahau familia yako kwenye exposure hiyo. Its real unique. Unafeel output instantly however kuna madhara kwenye social aspect.
Km tunavyoitwa nchi zinazoendelea basi hata kwenye elimu bado tunaendelea. Hebu angalia hizo ratio za mwalimu kwa mwanafunzi, upatikanaji wa vitabu vinavyoenda na wakati, ICT, kuanzia primary to secondary na baadae vyuoni, ukweli safari ni ndefu saana. Si kwenye medicine na ICT tu bali na engineering, research overall, business etc. mambo ni bado.