Yaan na maumbea yalivyojaa
Unabaki kuchorwa tu
Unadhani unajua wewe na jamaa, kumbe jamaa alisha hadithia jamaa zake vikasambaa dept nzima
Napenda amani sana na huwa nahakikisha nailinda.Hii kitaalam inaitwa "Don't shit where you eat". π€£π€£
Tumia neno 'baadhi '...Habari wakuu,
Husika na kichwa cha habari,
Niende moja kwa moja kwa mada inayosema stuka, kila mke na mume ana bebe wake ofisini.
Narudia tena stuka, kuna baadhi ya wake au waume za watu ila kwa ofisi wana bebe kule, huyo anachukua nafasi ya wa nyumbani Tena kwa kujali zaidi.
Huwezi elewa yaani wanakuwa na ukaribu Fulani ambao wanaweza kuchambua karanga wote kwa pamoja.
Picha linaanza pale anapoingia asubuhi mke au mume anakaribishwa na tabasamu matata na mfanyakazi mwenzie.
Wengine wanaenda mbali zaidi kwa kulumbatiana na kukisi.
Njoo sasa ule muda wa chai yaani wanakaa pamoja, wanaandaliana chai, hapo kumbuka vitafunwa mkeo/mumeo alishambinilia mwenzie.
Utamu unaanzia pale chai inanywea kwa mapozi mbalimbali, ambayo hata nyumbani unaweza usiyapate hahaaa...
Mchana wapo tena pamoja, yaani hapa mkeo au mumeo anapelekwa kwenye mgahawa wanakaa pamoja kwa furaha na kula chakula kwa pamoja.
Haitoshi jioni wanaotoka kazini Tena pamoja wanasimdikizana yaani ni wanamahaba mvua kuliko ya nyumbani.
Bado Kuna vile vizawadi vidogodogo kama pipi, biscuit, Ice cream ambazo analetewa mkeo pale kwa job na dume mwenzako.
Bado akirudi nyumbani wanachat kwa WhatApp yaaani ni mahaba tele..
Stuka, mkeo au mumeo ana bebe wake wa kazini ambaye anamjali kulio wewe...
Donatila
πππ new member signed..! Ila usipo date ofsini raha sana, unakuwa na guts za kuchangia maumbea ya waliodate wakamwaganaNtakuchapa Depal [emoji23][emoji23]
Ila depends na ofisi.. kuna maofisi wazee wengi, hizo mishe hamna ama zipo kwa kiasi kidogo sana.Donatila kaandika ukweli kabisa habari ndio iyo hapo yanayoendelea maofisini yanafurahisha wazee wa zamani hawakuwa wajinga tutoruhusu mwanamke kufanya kazi
Yaani nishakutana na mtoto wa mtu akanivuruga huko nyuma anasababisha mpaka mama Sasha wangu naenda nae kijeshiHahaha [emoji23]
Haha!!? You are married, na kuna ka mams kanakufurahisha huko ofisni unakiri kabisa kushikamana nako?Mimi naona ni poa tu, maisha yalivyo magumu ukiona kuna sehemu ama mtu anakupa furaha shikamana naye,
Maisha ni furaha .
Ngoja niendelee kusoma comments huenda nitabaini bebe flani ni bebe wake na nani jf πWapo, we ndo hujui...
Lugha ya comment zao tunajua Hawa mtu na bebe wake [emoji23][emoji23]
Asee sio baadhi ni karibu wote 99.9% anayebisha na abishe ila ndio ukweliWeka kwanza kiswahili sawa...
Je ni kila au ni baadhi?
Hivi mtu na akili zako timamu kabisa unakwenda kuungama Kwa binadamu mwenzako tena huenda anakuzidi madhambi, hii ni akili ya wapi?Kuna maza mmoja alikuwa workmate kabla hajaamishwa kikazi.
Mume wake alikuwa ana kisukari na kama ujuavyo kisukari kinafanya mwanamume ashindwe kutimiza vizuri huduma za kitandani
Basi akaanza kuliwa na mfanyakazi mwenzetu. Yule maza alikuwa ni mtu wa dini sana baadaye dhambi ya usaliti ikamuuma ikabidi aende kuungama.
Kiongozi wa dini akamwambia ili asemehewe lazima akaongee na mume wake kwanza amuombe msamaha
Mpaka anaondoka pale job hakuwa na furaha kabisa yule maza
Habari wakuu,
Husika na kichwa cha habari,
Niende moja kwa moja kwa mada inayosema stuka, kila mke na mume ana bebe wake ofisini.
Narudia tena stuka, kuna baadhi ya wake au waume za watu ila kwa ofisi wana bebe kule, huyo anachukua nafasi ya wa nyumbani Tena kwa kujali zaidi.
Huwezi elewa yaani wanakuwa na ukaribu Fulani ambao wanaweza kuchambua karanga wote kwa pamoja.
Picha linaanza pale anapoingia asubuhi mke au mume anakaribishwa na tabasamu matata na mfanyakazi mwenzie.
Wengine wanaenda mbali zaidi kwa kulumbatiana na kukisi.
Njoo sasa ule muda wa chai yaani wanakaa pamoja, wanaandaliana chai, hapo kumbuka vitafunwa mkeo/mumeo alishambinilia mwenzie.
Utamu unaanzia pale chai inanywea kwa mapozi mbalimbali, ambayo hata nyumbani unaweza usiyapate hahaaa...
Mchana wapo tena pamoja, yaani hapa mkeo au mumeo anapelekwa kwenye mgahawa wanakaa pamoja kwa furaha na kula chakula kwa pamoja.
Haitoshi jioni wanaotoka kazini Tena pamoja wanasimdikizana yaani ni wanamahaba mvua kuliko ya nyumbani.
Bado Kuna vile vizawadi vidogodogo kama pipi, biscuit, Ice cream ambazo analetewa mkeo pale kwa job na dume mwenzako.
Bado akirudi nyumbani wanachat kwa WhatApp yaaani ni mahaba tele..
Stuka, mkeo au mumeo ana bebe wake wa kazini ambaye anamjali kulioUkikataa
πππ new member signed..! Ila usipo date ofsini raha sana, unakuwa na guts za kuchangia maumbea ya waliodate wakamwagana.Ukiolewa heshimu ndoa