Stuka, kila mke/mume ofisini ana bebe wake

Stuka, kila mke/mume ofisini ana bebe wake

Yaan na maumbea yalivyojaa
Unabaki kuchorwa tu
Unadhani unajua wewe na jamaa, kumbe jamaa alisha hadithia jamaa zake vikasambaa dept nzima
Hii kitaalam inaitwa "Don't shit where you eat". 🤣🤣
Napenda amani sana na huwa nahakikisha nailinda.

Kuna mipaka nimejiwekea na huwa siivuki ukiwemo huu wa mapenzi ofisini/chuo/ shule… Kote huko sijawahi.
 
Habari wakuu,

Husika na kichwa cha habari,

Niende moja kwa moja kwa mada inayosema stuka, kila mke na mume ana bebe wake ofisini.

Narudia tena stuka, kuna baadhi ya wake au waume za watu ila kwa ofisi wana bebe kule, huyo anachukua nafasi ya wa nyumbani Tena kwa kujali zaidi.

Huwezi elewa yaani wanakuwa na ukaribu Fulani ambao wanaweza kuchambua karanga wote kwa pamoja.

Picha linaanza pale anapoingia asubuhi mke au mume anakaribishwa na tabasamu matata na mfanyakazi mwenzie.

Wengine wanaenda mbali zaidi kwa kulumbatiana na kukisi.

Njoo sasa ule muda wa chai yaani wanakaa pamoja, wanaandaliana chai, hapo kumbuka vitafunwa mkeo/mumeo alishambinilia mwenzie.

Utamu unaanzia pale chai inanywea kwa mapozi mbalimbali, ambayo hata nyumbani unaweza usiyapate hahaaa...

Mchana wapo tena pamoja, yaani hapa mkeo au mumeo anapelekwa kwenye mgahawa wanakaa pamoja kwa furaha na kula chakula kwa pamoja.

Haitoshi jioni wanaotoka kazini Tena pamoja wanasimdikizana yaani ni wanamahaba mvua kuliko ya nyumbani.

Bado Kuna vile vizawadi vidogodogo kama pipi, biscuit, Ice cream ambazo analetewa mkeo pale kwa job na dume mwenzako.

Bado akirudi nyumbani wanachat kwa WhatApp yaaani ni mahaba tele..

Stuka, mkeo au mumeo ana bebe wake wa kazini ambaye anamjali kulio wewe...



Donatila
Tumia neno 'baadhi '...
 
Nikikumbuka mke wangu anafanya kazi
FB_IMG_17021383399528758.jpg
 
Kuna maza mmoja alikuwa workmate kabla hajaamishwa kikazi.

Mume wake alikuwa ana kisukari na kama ujuavyo kisukari kinafanya mwanamume ashindwe kutimiza vizuri huduma za kitandani

Basi akaanza kuliwa na mfanyakazi mwenzetu. Yule maza alikuwa ni mtu wa dini sana baadaye dhambi ya usaliti ikamuuma ikabidi aende kuungama.

Kiongozi wa dini akamwambia ili asemehewe lazima akaongee na mume wake kwanza amuombe msamaha

Mpaka anaondoka pale job hakuwa na furaha kabisa yule maza
 
Jamani ukweli utabaki kuwa ukweli tu,Walio na wake wafanyakazi kwa vyovyote ile jua fika Mkeo lazima ana Mwanaume mwingine ambaye ni Mfanyakazi mwenzako mahali hapo au katika Ofisi nyingine.
Tena wale ambao Wame zao sio Wafanyakazi ndio wake zao wanaongoza kwa kuliwa.
 
Kuna maza mmoja alikuwa workmate kabla hajaamishwa kikazi.

Mume wake alikuwa ana kisukari na kama ujuavyo kisukari kinafanya mwanamume ashindwe kutimiza vizuri huduma za kitandani

Basi akaanza kuliwa na mfanyakazi mwenzetu. Yule maza alikuwa ni mtu wa dini sana baadaye dhambi ya usaliti ikamuuma ikabidi aende kuungama.

Kiongozi wa dini akamwambia ili asemehewe lazima akaongee na mume wake kwanza amuombe msamaha

Mpaka anaondoka pale job hakuwa na furaha kabisa yule maza
Hivi mtu na akili zako timamu kabisa unakwenda kuungama Kwa binadamu mwenzako tena huenda anakuzidi madhambi, hii ni akili ya wapi?

Hivi huwezi kuongea na Mungu direct wewe mwenyewe?

Hizi dini zimewatia watu uzezeta kwelikweli.
 
Habari wakuu,

Husika na kichwa cha habari,

Niende moja kwa moja kwa mada inayosema stuka, kila mke na mume ana bebe wake ofisini.

Narudia tena stuka, kuna baadhi ya wake au waume za watu ila kwa ofisi wana bebe kule, huyo anachukua nafasi ya wa nyumbani Tena kwa kujali zaidi.

Huwezi elewa yaani wanakuwa na ukaribu Fulani ambao wanaweza kuchambua karanga wote kwa pamoja.

Picha linaanza pale anapoingia asubuhi mke au mume anakaribishwa na tabasamu matata na mfanyakazi mwenzie.

Wengine wanaenda mbali zaidi kwa kulumbatiana na kukisi.

Njoo sasa ule muda wa chai yaani wanakaa pamoja, wanaandaliana chai, hapo kumbuka vitafunwa mkeo/mumeo alishambinilia mwenzie.

Utamu unaanzia pale chai inanywea kwa mapozi mbalimbali, ambayo hata nyumbani unaweza usiyapate hahaaa...

Mchana wapo tena pamoja, yaani hapa mkeo au mumeo anapelekwa kwenye mgahawa wanakaa pamoja kwa furaha na kula chakula kwa pamoja.

Haitoshi jioni wanaotoka kazini Tena pamoja wanasimdikizana yaani ni wanamahaba mvua kuliko ya nyumbani.

Bado Kuna vile vizawadi vidogodogo kama pipi, biscuit, Ice cream ambazo analetewa mkeo pale kwa job na dume mwenzako.

Bado akirudi nyumbani wanachat kwa WhatApp yaaani ni mahaba tele..

Stuka, mkeo au mumeo ana bebe wake wa kazini ambaye anamjali kulioUkikataa

😂😂😂 new member signed..! Ila usipo date ofsini raha sana, unakuwa na guts za kuchangia maumbea ya waliodate wakamwagana.Ukiolewa heshimu ndoa
 
Back
Top Bottom