Stuka, kila mke/mume ofisini ana bebe wake

Hiki kipengele cha kuungana ama kukiri dhambi zako kwa kiongozi wako wa dini kimekaa vibaya, ona mama wa watu amezidi kupata hatia baada ya kwenda kwa mtu kuungama, huyo muungamishaji akiwa na stress anakuongezea dhambi badala ya kuondolea.
Mjinga ni Yule anayekwenda kuungama Kwa binadamu mwenzie.
 
Duu jamani kwahiyo tuwafuatilie mpaka huko maofisini ?
 
Dona kwako kunaungua? Mbona upo kuzua taharuki kutwa humu?

We si ni mtumishi wa Mungu? Hebu ingia magotini, sugua goti hilo liishe.

Walokole feki mna kazi, bora mje muungane na sisi tule kilaji huku πŸ₯‚
 
Kama ulipunguza mahaba kwa mkeo au mumeo ongeza...
Kwenye kuongeza mahaba hapo SI unit iwe mahaba ya bebe wa ofisini. Ukiongeza below standard inakuwa 2Γ—2 minus 4[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hivi huo muda wa kuwaza mke wangu atakuwa anatoka na mtu huko nautoa wapi, nilishaumiaga mpaka saiv nimekuwa kama robot na kiukweli nashukuru kwa hivi nilivyo
Kuwa kama roboti sio jambo la kujivunia mkuu. Mng'atue aliyekusababishia huo uroboti uwe free[emoji3]
 
Team kataa ndoa imepata mwanachama mwingine πŸ˜‚
kuna haja ofisi ya takwimu wafanye sensa dodoso liwe......... wanaokataa ndoa vs wanaokubali ndoa maana wanachama wanaongezeka siku hadi siku!"!!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…