Stupid question, stupid answer

Mimi kunamtu akinipigia simu lazima aniulize unafanya nini?sasa leo akiniuliza tuu nafanya nini namjibu NAOGELEA!!!
 
mchana kweupe mnasalimiana na mtu anakuuliza siku hizi hauonekani.
jibu. washa taa kama sionekani
 

Hahaha hii mwisho...
 

Hiyo no.1 safii...
 
< Kijana una umri gani?
> Miaka 15

< Una uhakika?
> Hapana sina nimeuacha nyumbani

> Mbona unaonekana ni mtu mzima?
> Kwasababu sio mtu nusu

< Akili zako zinakutosha kweli?
> Ndio zinanitosha,nimeshonewa juzi juzi tu

Hahahaha...hii ndio JF bhana,
 
Siku moja nilimtembelea ndugu yangu, tukiwa sebuleni tunaangalia TV mwanamume alinyanyuka na kuanza kuondoka, mkewe akamuuliza "UNAKWENDA KULALA?" mumewe akamjibu "NAKWENDA KUSIMAMA". Nilicheka sana siku ile, bali jamaa alikuwa mtu wa jokes sana.

Hahaha...ila simjibu wife hivi esp kama kuna mgeni/wageni,ni kumuumbua...
 
mtu anakuona kituoni unasubil daladala 'nakuona unasubil gar,mwambie nasubir chochote kitachowah kat ya ndege,mel,tren ntapanda hicho hicho

Duh nimecheka mpk kidogo nimwangushe dogo hapa...
 
Dah,kweli mmenikumbusha majibu ya lodi lofa...
 
Hihihihihihihihi
Mtu anakuona umeongozana na mke wako mjamzito tumbo kubwa kabisa tena mpo knilini anakuuliza

VP naona mama mambo tayari, unamjibu bado, amekula hamira ndo tunaenda kukaanga maandazi.
 
Mtu anakupigia cm anakuuliza ww nani....? Na ww unamjibu kwani ww nani ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…