Kijana Mdaku
Member
- Mar 6, 2014
- 24
- 2
Mtu anakuwa hana cha kuongea,basi tu!
Inakera sana hii,sa si bora anyamaze kama hana la muhimu?
Kha! Ila hapa nadhani mtu anakujulia hali.
Mmekutana njiani...
< Hivi ni wewe au nimekufananisha?
> Itakua ni mimi umenifananisha
< Umepotea sana ndugu yangu,upo kweli?
> Ni kweli nimepotea,ndo naenda kureport polisi wanisaidie kujitafuta
< Mbona una majibu ya kunya hivyo?
> Majibu ya kujamba nimeishiwa yamebaki ya kunya tu
1.Mtu anakupigia simu halafu anakuuliza we nani .... Jibu Kata simu uangalie skrin yako
2.Unakwenda kwa fundi wa feni ukiwa umebeba feni yako mbovu halafu fundi anakuuliza vipi hiyo feni mbovu?Unamjibu hapana nimeleta kwako unitunzie
3.Unagonga mzigo wa kiwanja mara unashuka kuvua ndomu mzigo unauliza umemaliza...Hapana nimeahirisha so tufanye wakati mwingine so sikulipi leo...
< Kijana una umri gani?
> Miaka 15
< Una uhakika?
> Hapana sina nimeuacha nyumbani
> Mbona unaonekana ni mtu mzima?
> Kwasababu sio mtu nusu
< Akili zako zinakutosha kweli?
> Ndio zinanitosha,nimeshonewa juzi juzi tu
mtu anakuambia "mkuu nasikia jana uliondoka na yule demu" unamjibu "hata mimi nimesikia pia"
Siku moja nilimtembelea ndugu yangu, tukiwa sebuleni tunaangalia TV mwanamume alinyanyuka na kuanza kuondoka, mkewe akamuuliza "UNAKWENDA KULALA?" mumewe akamjibu "NAKWENDA KUSIMAMA". Nilicheka sana siku ile, bali jamaa alikuwa mtu wa jokes sana.
mtu anakuona kituoni unasubil daladala 'nakuona unasubil gar,mwambie nasubir chochote kitachowah kat ya ndege,mel,tren ntapanda hicho hicho
Mtu anakupigia simu saa saba usiku eti umelala?? Huwa nawajibu hapana, nalima shambani
Mtu anakuona umeongozana na mke wako mjamzito tumbo kubwa kabisa tena mpo knilini anakuuliza
VP naona mama mambo tayari, unamjibu bado, amekula hamira ndo tunaenda kukaanga maandazi.
Mtu anakupigia cm anakuuliza ww nani....? Na ww unamjibu kwani ww nani ?{1}Mtu anakukuta unafyatua matofali,anakuuliza;naona unafyatua matofali au vipi?,unamjibu;[hapana,ninaoka mikate!]
{2}Mtu anakukuta unavuta sigara,anakuuliza;na wewe unavuta sigara?,unamjibu;[hapana,hii ni chaki inaungua!].>>
{3}Mkeo anakuta namba ya mwanamke mwingine kwenye simu yako,anang'aka;niambie,na huyu ni nani?,unamjibu;[soma jina lake,si limeandikwa hapo!].
HohohohohohohoHihihihihihihihi
Kuna Msukuma mmoja alinipigia afu ananza kunihoji wewe ni nani? Na uko wapi. Nikamjibu Mimi ni Kiongozi wa Malaika niko Mbinguni.. Nikusaidie nini?Mtu anakupigia cm anakuuliza ww nani....? Na ww unamjibu kwani ww nani ?
Hahahahahaha ha ha ha haaaa nimevunjika mbavu aisee. Mtu anakuona unafukuzia demu anakuuliza unataka ukamtie? Unamjibu nataka tukaimbe kwaya.