dear all,
1: Maskini, waoga na washamba-sua
2: Matajiri, wajanja na wenye akili-mzumbe
3: Wenye akili chache, wavivu, matozi na masista duu-cbe dar
4: Malaya, wasanii, wauza sura na wasiojiweza kiakili-ifm
5: Upeo mdogo, wapenda sifa na watoto wa mama-tumaini university
6: Wazalendo wenye asili ya arusha na moshi-muccobs
7: Wapenda ofa duni za serikali-tia
8: Waliokosa vyuo kabisa-rucco
9: Mafundi-dit, st joseph
10: Wapenda dezo na wamekosa nafasi udsm-udom
11: Wasiojali future-saut, ustawi wa jamii, mwl nyerere, magogoni, uhazili tabora, cbe dodoma
12: Wenye uwezo wa kipesa na kiakili but walifeli form 4 na 6-iaa
13: Wanaosoma sana but silent-st john, kcmc, bugando, muhas
14: Wasiofahamu umuhimu wa elimu-chuo cha mipango dom, zanzibar university, moro muslimu, nyuki tabora
15: Wakujitolea na future duni-duce, muce, kigurunyembe, nk
16: Wasiojali nchi, mamluki-abroad
17: Watu wa sifa zote hapo juu za kila aina-university of dar es salaam.