Style za waendao Vyuo


Kwi kwi kwi kwi kwi............Duuuhh....Mkuu....no doubt you are "Pundit"
 


mkuu lazima utakuwa umesoma mzumbe kwa mujibu wa haka kautani...hahahahah!
huyu mwandishi staki hata kumzungumzia,doh!
 
mbona bado kuna vyuo kama mwenge university,makurumila,arusha university huja wa-rank?au ndo umepigia book huko? Salamu zako mjomba!!!!!!!!!!!!!!!
 
Huyu aliyeanzisha hii mada lazima ni "dogo "mwenye upeo mdogo wa kufikiri.unatukana wano admit wanafunzi vyuoni , waziri wa elimu na wizara nzima wanao control mfumo wa elimu,wazazi wanaolea watoto vibaya,uchumi wa nchi unaoifanya serikali kushindwa kutoa huduma za jamii kama elimu ?sorry to say lkn aliyeanzisha hii either ana upeo mdogo.hii forum inapungukiwa watu sababu za kuonekana kama genge la kutemea pumba.tunamuomba administrator uanze uataratibu wa kutoa wale wote watemao pumba ndani ya forum.utakimbiwa
 
wewe ndio mwenye upeo mdogo wa kufikiri uliyeshindwa kujua kuwa upo katika jukwaa la utani na udaku! kama upo serious na kudiscuss mustakabali wa elimu yetu tukutane jukwaa la elimu, anzisha mada zenye akili nasi tutachangia mkuu!
 
wewe ndio mwenye upeo mdogo wa kufikiri uliyeshindwa kujua kuwa upo katika jukwaa la utani na udaku! Kama upo serious na kudiscuss mustakabali wa elimu yetu tukutane jukwaa la elimu, anzisha mada zenye akili nasi tutachangia mkuu!

mkuu hako ka-avatar kako kanachekesha sana!!.
 

Lazima utakuwa umesoma CBE. Unabisha?
 
This was of the worse contribution we have ever shared. Sijui mwenzetu amesoma kweli na wapi.....nahisi ulikosomea panatisha kulingana na vigezo ulivyotumia. Huwezi kusema upuuzi kwa chuo kama SUA.....unajua wanafanya nini na ubora wa graduate wao?
Kudadadeki Kichwa chako
 
Wakuu totoz za DUCE zimetulia, zina body nzuri sana lakini nahisi kichwani na mfuniko(wengi wao) hazipo sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…