SUA badilikeni, achaneni na Panya imetosha

Kama zipo tafiti nyingine mbona hazisikikii ?? Mimi uwa nasikia panya, panya tu
SUA hawataona huu ni ushauri,ni kweli kwa dunia ya leo kufanya utafiti wa panya sijui atambue nini,ni uzembe wa kiwango cha lami;
ningesikia wana-design sensors kwa ajili ya utambuzi wa magonjwa mbalimbali sawa,ila panya hapana;
 
Panya wa kutambua viongozi bora, panya wakutambua mafisadi, panya wa kufanya auditing
Nilidhani ume outline tafiti zingine ambaxo wamefanya, kumbe unatetea bila strong base. Chanjo ya kuku waliyotafiti ulikubaliwa?
 
Elimu yako tafadhali Cc Wangari Maathai
 
Nakuunga mkono, labda ibaki kama maonyesho lakini si kuhesabu kuwa ni mafanikio.
 
Dogo umepotea kweli, unatakiwa kurudi sekondari

Dogo umepotea kweli, unatakiwa kurudi primary

Hivi una hata mwaka JF kweli wewe? Alaah!



Kumbe wewe ni ile mipambe ya propaganda za Corona na wizi wa uchaguzi 2020.

Hiiiiii bagosha!
 
UDSM wao wanatengeneza Smoothie na maji ya kujifukiza.
 
Mwenye Namba ya Dickson hapo nataka iyo Star X.
 
Kweli kabisa maana hii ya panya kila kukicha ni tatizo sasa.
 
Wewe jamaa kilaza kweli, aliyekwambia tafiti zinazofanyika SUA zinahusu panya wa kunusa pekee ni nani? aliyekwambia tafiti zinazohusu sniffing animals zimekufa duniani ni nani? kama zimekufa inakuwaje hao wazungu wanaendelea ku-fund hiyo research? hebu twambie serikali yako inatoa kiasi gani cha pesa kwenda kwenye vyuo vikuu au kwenda COSTECH kwa ajili ya ku-fund research....au umekuja kuhara tu humu kisa una machungu ya kuliwa kichwa hapo SUA.
 
Mtoa uzi usikalili maisha,huo utafiti kuhusu panya ni ka sehemu kadogo Sana kati ya tafiti nyingi zilizofanywa/zinazofanywa na SUA.
Mbona hatujui kila siku panya tu haya waleteni hata kwenye zahanati wagundue hata iyo corona basi au wako kwa ajili ya corona za maprofesa
 
Mtoa uzi usikalili maisha,huo utafiti kuhusu panya ni ka sehemu kadogo Sana kati ya tafiti nyingi zilizofanywa/zinazofanywa na SUA.
Halafu SUA kufundisha kozi za education anaona ajabu. Hajui hata UDSM wanataka (wameanza) kufundisha kozi za kilimo/mifugo
 
SUA hawataona huu ni ushauri,ni kweli kwa dunia ya leo kufanya utafiti wa panya sijui atambue nini,ni uzembe wa kiwango cha lami;
ningesikia wana-design sensors kwa ajili ya utambuzi wa magonjwa mbalimbali sawa,ila panya hapana;
Kama sniffing dogs wanatumika kwanini iwe ajabu panya kutumika?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…