Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 38,657
- 44,759
Sina nia mbaya wala lengo la kuwaharibia biashara zenu, ila ninyi kama taasisi kubwa nchini inayotumia resources nyingi kwenye tafiti mbalimbali za kilimo, hili la matunda yenu mmeshindwa kabisa.
Mfano mmoja kati ya mingi ni haya maembe yenu ya kisasa utakuta kati ya maembe na mapera 10 unayochuma mtini 8 ni mabovu yameoza ndani, je;
Mfano mmoja kati ya mingi ni haya maembe yenu ya kisasa utakuta kati ya maembe na mapera 10 unayochuma mtini 8 ni mabovu yameoza ndani, je;
- Hamuoni uwepo wenu hauna faida kwenye jamii kwakuwa products zenu hazifai?
- Hamuoni kama mnaathiri jamii ya Watanzania kwa haya matokeo yenu mabovu?
- Kama matokeo yenyewe ndiyo hayo, professionalism yenu ina lengo gani ni kutulisha sumu?
- Lengo lenu ni kutengeneza tatizo ili muuze madawa?
- Mbona enzi za matunda asilia hapakuwa na huu uharibifu, ninyi mmeleta mbegu zenu matokeo ni hayo!
- Hamuoni haja ya kutatua hii shida kwakuwa tayari mnanufaika kwa namna fulani?