SUA kama Real Madrid

SUA kama Real Madrid

Moyibi

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2012
Posts
1,054
Reaction score
701
SUA tutaendelea kupeta kama real madrid ndani ya santiaGo bernabeu........ tumekamilikA kilA idaRaaa hasaHasaaa in term of excellence........... u canT compare suA with Udzm or any other vyuo vya kata...... e.G udom ñ sauti
 
SUA tutaendelea kupeta kama real madrid ndani ya santiaGo bernabeu........ tumekamilikA kilA idaRaaa hasaHasaaa in term of excellence........... u canT compare suA with Udzm or any other vyuo vya kata...... e.G udom ñ sauti
na ww mwana Sua!? Enzi zetu wanasua hatukuwa kama ulivyo wewe, mmmmh kweli Sua nowadays inadahili wanafunzi wa hivi, ama kwel Elimu imekufa.
 
Sua hii inayochukua matapish ya udsm,mzumbe na muhimbili,au kuna sua nyingne?
 
Sua uko kwenye bustani ama ni mfagizi? Maana kama ni mwanazuoni huwezi kuleta comparison za kijinga namna hii...
 
Sua uko kwenye bustani ama ni mfagizi? Maana kama ni mwanazuoni huwezi kuleta comparison za kijinga namna hii...
huyu atakuwa wa sua kweli ila atakuwa anachukua digir ya maua, Bsc horticulture
 
SUA tutaendelea kupeta kama real madrid ndani ya santiaGo bernabeu........ tumekamilikA kilA idaRaaa hasaHasaaa in term of excellence........... u canT compare suA with Udzm or any other vyuo vya kata...... e.G udom ñ sauti
real madrid was awarded the best team in the world of 20th century.so SUA is the best university too in the world?if not in the world is it in Tanzania?for what special achievement?wakati kilimo na ufugaji vipo ICU,hakuna chuo hata kimoja Afrika ni realmadrid,vyuo vya wenzenu ni center of innovations and inventions,sisi ni kupiga kelele tu huku vyuo vyetu vyote vinapumulia mashine.
 
Chuo cha kilimo una compare na UDSM ! Boya kwel ww ! SUA nacho chuo kwan ???
 
unadhaNii mm ni kilaza kama wewe... uliza uambiwe bwana mdoGo

Mkuu hakujui kama uko BVM! Ila umeanzaje mkuu mpaka kufikia hiyo hatua? Maana ulichoandika mimi sijakielewa!
 
SUA tutaendelea kupeta kama real madrid ndani ya santiaGo bernabeu........ tumekamilikA kilA idaRaaa hasaHasaaa in term of excellence........... u canT compare suA with Udzm or any other vyuo vya kata...... e.G udom ñ sauti
Hili ni tatizo la vilaza huwa wanachangua vyuo gani vya kusoma badala ya kuachagua kozi zipi za kusoma,na wakimaliza hwajua hata kazi gani wafanye. Ni vyema ukajua kuwa ukiwa unachagua kozi kwanza huwezi dharau vyuo vingine maana kuna kozi hazipatikani kila chuo. Mfano kozi nyingi za afya zipo MUHAS huwezi pata SUA, na pia kozi nyingi za kilimo zipo SUA huwezi pata UDOM au MZUMBE.
 
Hili ni tatizo la vilaza huwa wanachangua vyuo gani vya kusoma badala ya kuachagua kozi zipi za kusoma,na wakimaliza hwajua hata kazi gani wafanye. Ni vyema ukajua kuwa ukiwa unachagua kozi kwanza huwezi dharau vyuo vingine maana kuna kozi hazipatikani kila chuo. Mfano kozi nyingi za afya zipo MUHAS huwezi pata SUA, na pia kozi nyingi za kilimo zipo SUA huwezi pata UDOM au MZUMBE.

respect kwako :x
 
SUA tutaendelea kupeta kama real madrid ndani ya santiaGo bernabeu........ tumekamilikA kilA idaRaaa hasaHasaaa in term of excellence........... u canT compare suA with Udzm or any other vyuo vya kata...... e.G udom ñ sauti

Hata mimi naamini SUA ni chuo kizuri kwenye fani zinazohusiana na kilimo.Ila kama na wewe ni mwanafunzi wa chuo hicho bas jani la mmea korofi ulilotumia ukiwa sekondari halijakuisha.Na kama ni muhitim bas tulia acha kuchanganya viroba na kahawa,ona sasa vimekuharibia hata uwezo wa kuandika.
 
Mkuu hakujui kama uko BVM! Ila umeanzaje mkuu mpaka kufikia hiyo hatua? Maana ulichoandika mimi sijakielewa!
BVM huyo??
Enzi zetu kulikuwa na watu kama Prof Kasuku, Mama Peleka nk, huwezi ukawa kilaza kama huyu dudu.
 
Back
Top Bottom