Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hili ni tatizo la vilaza huwa wanachangua vyuo gani vya kusoma badala ya kuachagua kozi zipi za kusoma,na wakimaliza hwajua hata kazi gani wafanye. Ni vyema ukajua kuwa ukiwa unachagua kozi kwanza huwezi dharau vyuo vingine maana kuna kozi hazipatikani kila chuo. Mfano kozi nyingi za afya zipo MUHAS huwezi pata SUA, na pia kozi nyingi za kilimo zipo SUA huwezi pata UDOM au MZUMBE.
SUA tutaendelea kupeta kama real madrid ndani ya santiaGo bernabeu........ tumekamilikA kilA idaRaaa hasaHasaaa in term of excellence........... u canT compare suA with Udzm or any other vyuo vya kata...... e.G udom ñ sauti
Mkuu hakujui kama uko BVM! Ila umeanzaje mkuu mpaka kufikia hiyo hatua? Maana ulichoandika mimi sijakielewa!
SUA tutaendelea kupeta kama real madrid ndani ya santiaGo bernabeu........ tumekamilikA kilA idaRaaa hasaHasaaa in term of excellence........... u canT compare suA with Udzm or any other vyuo vya kata...... e.G udom ñ sauti
SUA ilikuwa tawi la UDSM naona leo mtoto anataka kumtusi baba,sua ni sawa na COET,CONAS,CASS,UDSOL,UDBS,COICT,SJMC ambayo ni matawi ya UDSM
We Uliyepost huu Utumbo unavuta Bangi bila shaka na huu ni mwaka wako wa kwanza Chuo lazima.......Unapozungumzia Vyuo Vikuu Tz UDSM hakuna Chuo cha kulinganisha hapa labda vya South Africa,Egypt,Nigeria,na vichache vya E.Africa(Kenya na Uganda)....Ukitaka kujiridhisha tafuta Africa Universities Ranking.....halafu next time ukishavuta bangi zako nenda kapost Facebook.