Soma lugano sikukuu zipo tu utazikuta hadi utazichoka ...kusoma ni kujitoa na kusahau mambo mengine kwa muda. Tafuta kilichokupeleka sua utafurahi siku moja ukisoma kwa bidii.
Aisee Sua sio kwa failures labda mnaongelea chuo kingine. Na graduates wengi was Sua huwa wanajiajiri.
wanajiajiri?,kumbe SUA huwa wanagawa mitaji ya kujiajiriSoma lugano sikukuu zipo tu utazikuta hadi utazichoka ...kusoma ni kujitoa na kusahau mambo mengine kwa muda. Tafuta kilichokupeleka sua utafurahi siku moja ukisoma kwa bidii.
Aisee Sua sio kwa failures labda mnaongelea chuo kingine. Na graduates wengi was Sua huwa wanajiajiri.
Kweli mkuu wewe peke yako ndio unajua "KUANDIA"kweli kabisa kwani hata mleta mada hajui kuandia
Piga shule acha kuendekeza starehe
sisomi sua wala liti,nasoma school of assignment
hii mitoto iliyosomea shule ambazo wanafuliwa hadi nguo ndio hii, Quiz kwao ni mateso.
Ubaya wa kusoma vyuo ambavyo havina future, kumeza sana majina ya wadudu na kuchambua udongo weeee, mwisho wa siku unakuja kuomba kazi ya u-banki teller au unakuwa producer wa music kama Hammy-B ambaye amemaliza SUA.