Alexander Lukashenko
JF-Expert Member
- Sep 9, 2017
- 4,140
- 9,667
Ko hayo ni matatizo ya SUA? Graduates wa wapi ambao hawana changamoto.Hata kwenye soko la ajira graduates wa SUA wana changamoto kubwa sana kupata ajira wengine wanachunga mbuzi na elimu wanayo.