Sua sua

Sua sua

Best Mzava

Senior Member
Joined
Jul 20, 2012
Posts
135
Reaction score
10
Nitakuwa mchoyo wafadhila nisipotanguliza shukurani zangu kwa wana jamvi coz mmekuwa wa2 wakwanza kunishauri japo kuna wachache walipondea sana mm kupangwa IFM bt kwa maombi yenu kwangu now nimepangwa chuo nilichokua nakiota na kutamani sana kusoma pande hizo si kingine bali ni SUA,kwahiyo napenda kuwataarifu wana sua kwamba 2takuwa pamoja,SUA hoyeeeeee
 
mkuu HONGERA and your welcme !! Kozi ipi sasa
 
Nitakuwa mchoyo wafadhila nisipotanguliza shukurani zangu kwa wana jamvi coz mmekuwa wa2 wakwanza kunishauri japo kuna wachache walipondea sana mm kupangwa IFM bt kwa maombi yenu kwangu now nimepangwa chuo nilichokua nakiota na kutamani sana kusoma pande hizo si kingine bali ni SUA,kwahiyo napenda kuwataarifu wana sua kwamba 2takuwa pamoja,SUA hoyeeeeee
umefanyaje dogo. mimi nataka niende mzumbe ila wamenipanga RUCO. Tafadhali nisaidie
 
Niliopt 2nd round tenah mkuu?bt tcu walioa majina ya watu waliopangwa cozi na vyuo ambavyo hawakuomba xo check kwenye website yao kama jina lako liko,then kama liko bac opt 4 the 2nd round tena,bt kama jina lako haliko nivigumu sana mkuu
 
Mkuu,vp join instruction washatoa ya mwaka wetu au 2na2mia ile ya mwaka jana
 
safi sana mkuu...tutakua pamoja mkuu!!!!
 
Back
Top Bottom