British economist
Senior Member
- Jul 14, 2013
- 104
- 14
katika hali isiyoeleweka tuna jikuta tunashindia maji tuliyo download , km umeweza kununua mkate aya so ndo maisha hayo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
katika hali isiyoeleweka tuna jikuta tunashindia maji tuliyo download , km umeweza kununua mkate aya so ndo maisha hayo
udsm walipoanza kuhamasishana kudai haki ya pesa haraka wakawekewa hvyo basi nyie kueni wavumilivu tu mtapewa
Mkuu unatania au uko siriasi?Mkome,,,mmekalia uchumi hamtaki kuutumia,
Sokoine University of Assignment (SUA).
80% ya wanafunzi wa SUA-SUA ni kutoka familia masikini, 15% ni inservise na 5% ni foreigner (most from Mozambiq). Haya gomeni sasa wakulima nyinyi muone balaa lake.
Poleni sana, nawaonea huruma dada zangu!
Kiukweli hapa SUA hali ni ngumu kifedha. Ni kwelh kwamb ku-organise mgomo SUA sio kazi rahisi, lakin si kwamb haiwezekani. Kama hali ikiendlea hiv mgomo utakua inevitable. Watu huwa hawapend migomo but kuna wakat huwa wanalazmika kufanya hivyo. Inafka wakt m2 anakata tamaa na kuamua kufanya chochte kutokana na ugumu wa maisha. Binafsi sishabikii migomo bt kuna wakat ni lazima itokee ili kurudi kwenye equilibrium. Tatizo ni kwamb kwa nin baadhi ya vyuo wapewe boom na wengne wasipewe kama tatizo ni hazina kweli? Ni kwamb hazna haina pesa za wanafunzi, au haina pesa za wanafunz wa SUA? Sitak kuwasemea wengne kwanza....POOR TZ GVT!
Hivi hii serikali haisikii kilio hiki? Hivi kusoma imekuwa adhabu kiasi hiki kweli!!
Halafu mwanachuo akihitimu na kuanza kazi serikali na wanasiasa wao wanachonga midomo wakitaka watumishi/wafanyakazi wawe wazalendo....ni haki hiyo kweli?
Mbona wao wanadai posho ya laki 3 kwanza ndipo wahudhurie vikao vyao vya mipasho na matusi tu...
katika hali isiyoeleweka tuna jikuta tunashindia maji tuliyo download , km umeweza kununua mkate aya so ndo maisha hayo
Kiukweli hapa SUA hali ni ngumu kifedha. Ni kwelh kwamb ku-organise mgomo SUA sio kazi rahisi, lakin si kwamb haiwezekani. Kama hali ikiendlea hiv mgomo utakua inevitable. Watu huwa hawapend migomo but kuna wakat huwa wanalazmika kufanya hivyo. Inafka wakt m2 anakata tamaa na kuamua kufanya chochte kutokana na ugumu wa maisha. Binafsi sishabikii migomo bt kuna wakat ni lazima itokee ili kurudi kwenye equilibrium. Tatizo ni kwamb kwa nin baadhi ya vyuo wapewe boom na wengne wasipewe kama tatizo ni hazina kweli? Ni kwamb hazna haina pesa za wanafunzi, au haina pesa za wanafunz wa SUA? Sitak kuwasemea wengne kwanza....POOR TZ GVT!
Mkome,,,mmekalia uchumi hamtaki kuutumia,
mmh wanasema tubadilishe vyetu kwa wal wa cantn! Miaka minne na wal they cant be criaz
arifu hivi upo rural,btm au aea......daahhh jamaa wanazingua na ninahasira mkuu..