Imesikika repoti ya Dr. Mwakyembe akitaka kuiaminisha Dunia hii ya werevu ati kuwa sheria ni fani adhimu na special sana. Haijulikani ni kwenye lipi msomi huyu akilenga.
Hawa hapa ni SUA wakikodolea ubingwa katika tafiti na uvumbuzi:
Mkakati wa SUA kuwa kitovu cha utafiti, uvumbuzi
Ma lawyer uchwara design ya Dk. Mwakyembe mjimwambafy wapi? Lipi lenye tija tulitegemee kutoka kwenu?
Kwani mitishamba Madagascar nani walifuata? Au ni kuwa tulikwisha sahau?
Hawa hapa ni SUA wakikodolea ubingwa katika tafiti na uvumbuzi:
Mkakati wa SUA kuwa kitovu cha utafiti, uvumbuzi
Ma lawyer uchwara design ya Dk. Mwakyembe mjimwambafy wapi? Lipi lenye tija tulitegemee kutoka kwenu?
Kwani mitishamba Madagascar nani walifuata? Au ni kuwa tulikwisha sahau?