Usimdharau PhD ya Mwakyembe hata Lissu anamkubali Mwakyembe kielimu na huwa sometimes anamuita 'Mwalimu wangu' PhD ya Mwakyembe ni genuine japo alipingana nayo kipindi Cha Bunge La katiba.Imesikika repoti ya Dr. Mwakyembe akitaka kuiaminisha Dunia hii ya werevu ati kuwa sheria ni fani adhimu na special sana. Haijulikani ni kwenye lipi msomi huyu akilenga.
Hawa hapa ni SUA wakikodolea ubingwa katika tafiti na uvumbuzi:
Mkakati wa SUA kuwa kitovu cha utafiti, uvumbuzi
Ma lawyer uchwara design ya Dk. Mwakyembe mjimwambafy wapi? Lipi lenye tija tulitegemee kutoka kwenu?
Kwani mitishamba Madagascar nani walifuata? Au ni kuwa tulikwisha sahau?
Ni wivu umekukamata.Imesikika repoti ya Dr. Mwakyembe akitaka kuiaminisha Dunia hii ya werevu ati kuwa sheria ni fani adhimu na special sana. Haijulikani ni kwenye lipi msomi huyu akilenga.
Hawa hapa ni SUA wakikodolea ubingwa katika tafiti na uvumbuzi:
Mkakati wa SUA kuwa kitovu cha utafiti, uvumbuzi
Ma lawyer uchwara design ya Dk. Mwakyembe mjimwambafy wapi? Lipi lenye tija tulitegemee kutoka kwenu?
Kwani mitishamba Madagascar nani walifuata? Au ni kuwa tulikwisha sahau?
hao sua walishagundua hata dawa ya kuua mbu?Imesikika repoti ya Dr. Mwakyembe akitaka kuiaminisha Dunia hii ya werevu ati kuwa sheria ni fani adhimu na special sana. Haijulikani ni kwenye lipi msomi huyu akilenga.
Hawa hapa ni SUA wakikodolea ubingwa katika tafiti na uvumbuzi:
Mkakati wa SUA kuwa kitovu cha utafiti, uvumbuzi
Ma lawyer uchwara design ya Dk. Mwakyembe mjimwambafy wapi? Lipi lenye tija tulitegemee kutoka kwenu?
Kwani mitishamba Madagascar nani walifuata? Au ni kuwa tulikwisha sahau?
Usimdharau PhD ya Mwakyembe hata Lissu anamkubali Mwakyembe kielimu na huwa sometimes anamuita 'Mwalimu wangu' PhD ya Mwakyembe ni genuine japo alipingana nayo kipindi Cha Bunge La katiba.
hao sua walishagundua hata dawa ya kuua mbu?
Wasomi wetu wakishaingia kwenye siasa ndio habari yao imekwisha, hawa jamaa ni sawa na kusema huwa wanaiweka rehani elimu yao mbele ya siasa, ni wasomi wanaotetea zaidi matumbo yao.
Aliyemloga mtu mweusi alipatia kweli kweli maana alimloga kwenye ubongo. Kama siku zote kilio cha watafiti ni vifaa vya kufanya tafiti bora na leo mmepata hela kwa nini kiwango kikubwa cha fedha za HEET mnaipeleka kwenye majengo?
Nina uhakika hawa watawala wa vyuo wanahisi kuwa na majengo mengi na makubwa "lecture theaters" kutaongeza idadi ya udahili wa wanafunzi. Lakini seriously? Kweli vyuo vikuu kama SUA vinahitaji idadi kubwa ya wanafunzi? Hawa wanaograduate wanafanya nini mtaani kama siyo kuendesha bajaji na bodaboda?
Pesa hizo wangewekeza kwenye vifaa bora vya kufanya tafiti, wanafunzi wangepata maarifa bora ya kuwasaidia kuwa wabunifu zaidi hata wanapograduate. Sasa nyiei endeleeni kujenga majengo tu utafikiri elimu bora ni majengo!
Kwamba mada zimechanganyika? Kwa kipimio gani? Au kipimio ni wewe ndugu lawyer uchwara? Kwa uchambuzi huu; elimu yetu bado sana!Mbona umechanganya changanya mada?
Kwa uandishi huu; Elimu yetu bado sana!
Hilo la kujitambua majukumu ni jambo dogo sana kwa vyuo vikuu. Haya mavyuo yetu ni ma white elephants tu, kelele nyingi kudeliver sifuri. Ukitaka kujua kuwa ni wahuni wenye CV za makaratasi, angalia kipaumbele iwapo kifaa cha mahabara kikiharibika na iwapo gari la VC au DVC likiharibika. Pesa ya kukarabati gari la mtawala haijawahi kukosa. Pesa ya kureplace kifaa kidogo tu cha maabara kalenda zitapigwa, vikao vitakaliwa, barua zitaandikwa na mwisho hela haitapatikana. Sinaga hamu na systems za mavyuo yetu.Ile kuwa na wazo kichwani kuwa majukumu ya vyuo ni tafiti na uvumbuzi yatia moto kuwa kumbe Kuna siku kwenye reli tutarejea. Sasa Hawa wengine kina Mwakyembe kumbukumbu hizo wanazo?
Imesikika repoti ya Dr. Mwakyembe akitaka kuiaminisha Dunia hii ya werevu ati kuwa sheria ni fani adhimu na special sana. Haijulikani ni kwenye lipi msomi huyu akilenga.
Hawa hapa ni SUA wakikodolea ubingwa katika tafiti na uvumbuzi:
Mkakati wa SUA kuwa kitovu cha utafiti, uvumbuzi
Ma lawyer uchwara design ya Dk. Mwakyembe mjimwambafy wapi? Lipi lenye tija tulitegemee kutoka kwenu?
Kwani mitishamba Madagascar nani walifuata? Au ni kuwa tulikwisha sahau?
Hilo la kujitambua majukumu ni jambo dogo sana kwa vyuo vikuu. Haya mavyuo yetu ni ma white elephants tu, kelele nyingi kudeliver sifuri. Ukitaka kujua kuwa ni wahuni wenye CV za makaratasi, angalia kipaumbele iwapo kifaa cha mahabara kikiharibika na iwapo gari la VC au DVC likiharibika. Pesa ya kukarabati gari la mtawala haijawahi kukosa. Pesa ya kureplace kifaa kidogo tu cha maabara kalenda zitapigwa, vikao vitakaliwa, barua zitaandikwa na mwisho hela haitapatikana. Sinaga hamu na systems za mavyuo yetu.
Usifananishe sheria na vitu vya ajabu.
Unyeti wa sheria unagusa sehemu nyeti respectively. Ukizingua kidogo nchi inauzwa.
Hujasikia sakata la kukamatwa ndege uholanzi? Kama hujaelewa, unastahili kubaki hapo SUA.
Una fahamu Apopo ni kampuni au shirika la nchi gani? Lililo kuja tanzania mwaka gani??Panya wa SUA wa kutegua mabomu, kunusa makohozi na covid hujawahi kuwasikia? Na huyo Mwakyembe naye je kagundua nini?
Sua hawana ugunduzi walio ufanya... kama upo basi usemwe... hawana hata shamba la nanasi...hao sua walishagundua hata dawa ya kuua mbu?
Hachana nae mjinga huyo...Usifananishe sheria na vitu vya ajabu.
Unyeti wa sheria unagusa sehemu nyeti respectively. Ukizingua kidogo nchi inauzwa.
Hujasikia sakata la kukamatwa ndege uholanzi? Kama hujaelewa, unastahili kubaki hapo SUA.
Wamevumbua nini?Ile kuwa na wazo kichwani kuwa majukumu ya vyuo ni tafiti na uvumbuzi yatia moto kuwa kumbe Kuna siku kwenye reli tutarejea. Sasa Hawa wengine kina Mwakyembe kumbukumbu hizo wanazo?